ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 16,993
- 65,237
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama wew n wa kiume na unauliza hili swali nna mashaka na ufanisi wa jinsia yako,ila kama n mdada uko sawa
six pack ni sehemu ya utumbo mwembamba ambao humeng`enya vyakula hususani aina ya kimiminika(ukibisha unayajua matumizi yake)
Babe kitambi changu hukipendi au? [emoji2]Liac zitafute uone kazi yake.
Nakipenda babe wangu sana[emoji7][emoji23]Babe kitambi changu hukipendi au? [emoji2]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Ni sawa naww ulivyovaa sendoz ndogo wakat mguu mkubwa hamna faida yeyote
Hello. Jambo
😂😂Tuheshimiane bibie
Nzuri tu asee. Natumaini huko ulipo uko poa kabisa.
Mimi pia sijambo babeNzuri tu asee. Natumaini huko ulipo uko poa kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ni sawa naww ulivyovaa sendoz ndogo wakat mguu mkubwa hamna faida yeyote
Here we good mkuu, wasalimu woteNzuri tu asee. Natumaini huko ulipo uko poa kabisa.
Hahaaa, alisahau kukusalimia bebe wake,aah mwambie babe's first[emoji3]Mimi pia sijambo babe