Cool Gentleman
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 330
- 235
basi utakuwa hujanisoma vizuri. mie sitaki wanaume wote. huwa tu nawahitaji kwa sex mchezo umeisha.
ninaye mtaka yuko mmoja tu! anajijua. na anajua nampenda. na anajua nipo kwa ajili yake na neno lake amri!
Weeee! Taratibu eeh, familia na Erotica Staki kabisa. File lake nshalichoma mie. Huyo lazima takuwa Mchina na alikuwa mteja wa Kampuni yetu. Aliniuma sikio hakutumia mpira. So Erotica imekula kwake. Twins wa Kichina ni balaa afu na macho yao yaleee na "urefu" wao . . . . asije tu akawaua wanae.
actionz, actionz speak louder than words.... njoo tufinge.
twenzetu jukwaa la wakubwa. mengine yatafuata.
nilikuona toka huko nyuma kuwa hunipendi. sijui ndio hii pipi yangu? hata sielewi :A S confused:
siku ya kwanza tu ukasema kuwa mie mtundu na mkorofi, kabla hujapata hata file..
ww una watoto wawili, kuna ubaya gani mm kuja na wangu wawili? alafu unaniita mchina na hujatest? how come??!
Kwani huyo Mwanaume wako hakutoshelezi kwa Sex hadi uende kwa wanaume wengine wa Kichina wenye Vibamia? Au mtu wako ni Babu Jinga?
even me kungwito. was so dissapointed to kno it is another Kaunga. bt no love lost.
na hawa mapachito nazaa hawa tutakuwa closer and closer. naona raha utamu!
Kaunga majungu hayajengi..........kusema ukweli siku hizi hali yangu ya kiroho inazidi imarika, maungamo walau mara moja kwa wiki si haba, keep it up KaizerAisee hapo nilipo highlight, siku hizi anachoshwa na kungwi wako no moja gfsonwin. Mimi nilifanya naye maungamo just once, nikahisi jirani yake Elizabeth Dominic ananizidi speed!
hapa utawasha moto Cool Gentleman. taratiiiiibu. tukana wote but sio mtu wangu.
ahusiki kabisa na hii habari na usinipatishe ban tafadhali. nipo so serious. ishia hapo! pliiiiiiizi.
narudia acha kabisa kuhusisha mtu wangu na hii habari. tutaenda kusiko.
Nitarudi nina wageni . . . . ila jua tu namwelewa mtu kwa kumwona, kumsikiliza na kumsoma. lol
Yaani twins watapata maauntie na mauncle mpaka basi. I am not jilas dia, ukizingatia hata Kaizer tummshare, but the dude iz something else, l terribly miss maungamo. @gfsowin dear can l ........ just this weekend! LOL
Basi nimefuta usemi kwa kuwa mimi si mtu wa bifu. Ila iko hivi, yule Mchina mfupi kabisaaaaa mwenye macho ya kusinzia aliniuma sikio kuwa mlikuwa wote na hakutumia protection. Issue ni kuwa Babu Jinga utamwambia nini? Au Mambo ya Bushoke hayo ya "Mke wangu Mwanajeshi?"
...................... :frusty: Mods:banplease: najisikia kuua mtu hapa!
Erotica BANNED untill further notice! she was going to kill Cool Gentleman.
Nimepima Kiranga. hio ni 1st thing nimefanya. am as healthy as a racing horse.
u should know thou kuwa heart pace has increased jst seeing your galaxy.