Huo ni uongo au propaganda za dini. Hakuna kitendo ambacho ni spiritual in nature zaidi ya sex. Hasa sex ya kawaida man/ woman.Ni kitendo kinachoogopwa yet kinapendwa kuliko vitendo vingine vyote. Hapa siongelei kula na kunywa. Ni tendo takatifu prima facie.Walimu wa kiroho wanakwambia jitenge na hilo tendo kwa muda wa masaa 72 kabla ya kufanya mazoezi yoyote ya kiroho.
Huo ni uongo au propaganda za dini. Hakuna kitendo ambacho ni spiritual in nature zaidi ya sex. Hasa sex ya kawaida man/ woman.Ni kitendo kinachoogopwa yet kinapendwa kuliko vitendo vingine vyote. Hapa siongelei kula na kunywa. Ni tendo takatifu prima facie.
Huo ni uongo au propaganda za dini. Hakuna kitendo ambacho ni spiritual in nature zaidi ya sex. Hasa sex ya kawaida man/ woman.Ni kitendo kinachoogopwa yet kinapendwa kuliko vitendo vingine vyote. Hapa siongelei kula na kunywa. Ni tendo takatifu prima facie.
Excellent.Nakubaliana na we we ndugu kwa 98%. Na kuongeza kidogo ktk uumbaji bunadamu huanza na viungo vya uzazi hii INA maana take ktk athari za kiukuaji kwa viumbe. Spiritually pia tunaona kila siku watu wakishikamana ktk ndoa zao na maisha hunyooka vzr ila wakianza kusuguana ktk relationship yao hats hiyo sex huwa haina ladha tena Bali ni kutimiza wajibu na athari take in separation of those natural spirit(star) to cooperate matokeo take ni kushuka kimaisha sababu hizi spirit nyingi they normally work when man and woman cooperated by means of marriage or a sexual relationship in a trust way.
Apollo njoo huku, majibu yako ni muhimuNaungana na wachangiaji wengi haswa mkuu Apollo kuwa sex is a source of body imbalance. Ukitaka kuwa na nguvu kubwa kiroho na hata kimwili na kiakili pia epuka utowaji wa mbegu za kiume mara kwa mara. Sex ni muungano wa kiroho na unayefanya nae mapenzi, but the question we should ask ourselves now is; How many spiritual connections have we attained because of sex? Na hao ambao wataconfess kwamba wameshafanya mapenzi na watu zaidi ya 100 up to now, mbona wengine hawapati balaa yoyote zaidi ya maisha yao kunyooka tu? Does that means waliokutana nao ni only good and positive spirits tu?
I better bet if am wrong...
Apollo njoo huku, majibu yako ni muhimuNaungana na wachangiaji wengi haswa mkuu Apollo kuwa sex is a source of body imbalance. Ukitaka kuwa na nguvu kubwa kiroho na hata kimwili na kiakili pia epuka utowaji wa mbegu za kiume mara kwa mara. Sex ni muungano wa kiroho na unayefanya nae mapenzi, but the question we should ask ourselves now is; How many spiritual connections have we attained because of sex? Na hao ambao wataconfess kwamba wameshafanya mapenzi na watu zaidi ya 100 up to now, mbona wengine hawapati balaa yoyote zaidi ya maisha yao kunyooka tu? Does that means waliokutana nao ni only good and positive spirits tu?
I better bet if am wrong...
Naungana na wachangiaji wengi haswa mkuu Apollo kuwa sex is a source of body imbalance. Ukitaka kuwa na nguvu kubwa kiroho na hata kimwili na kiakili pia epuka utowaji wa mbegu za kiume mara kwa mara. Sex ni muungano wa kiroho na unayefanya nae mapenzi, but the question we should ask ourselves now is; How many spiritual connections have we attained because of sex? Na hao ambao wataconfess kwamba wameshafanya mapenzi na watu zaidi ya 100 up to now, mbona wengine hawapati balaa yoyote zaidi ya maisha yao kunyooka tu? Does that means waliokutana nao ni only good and positive spirits tu?
I better bet if am wrong...
Hii mada bado ina utata sana kwani sio kwamba ina uhakika kwa asimia kubwa. Hapana nayo ina utata wake kwani Sex ni tendo ambalo mwanadamu mpaka leo anajaribu kujiuliza lengo lake ni nini.
Kwa watu wanaoamini Occult wanaamini kuwa Sex ni gate of eden. Wanaamini kuwa Sex ni muunganiko wa mwanadamu yaani mwanamke na mwanaume. Pia wanaamini Sex ni uumbaji kwani hupelekea uumbaji wa maisha mapya ya mtoto. Occult wamefika mbali kwa kufundisha kuwa Orgasm ni tofauti na sex. Orgasm ni hisia inayopatikana katika sex. WanaOccult wamegawanyika hapa.
- Kuna wanaoamini Sex ndio msingi mkuu
- Kuna wanaoamini Orgasm ndio msingi mkuu na sex sio lazima.
Kwani Orgasm wanaamini inaamsha energy ya kujitambua mwilini.
Lakini mimi baada ya kujifunza sana, nimekuja kukataa kabisa kuwa Sex ni muhimu katika kujitambua. No Sex sio muhimu kwani wanadamu wengi waliokuja kujitambua waliwahi kujitenga na mahusiano na mwanamke kwa kipindi fulani au katika maisha yao yote. Hii ni uthibitisho kuwa sex sio gate to soul bali kuachana na desires ndio gates to soul. Sex ni njia ya kuweka uhai mpya kwa kuleta uhai tena kwenye hali ya uanadamu lakini pia sex ni kifungo ambacho mwanadamu anajifunga ili asijitambue. Ni kama ni njia ya pekee katika kuleta uhai lakini pia ni njia ya kukupoteza pia. Mfano mzuri na wanafunzi wa Yesu waliacha kuendelea na mahusiano na wake zao na kushikilia imani kwa kujitambua. Lengo kuu ni kujitambua kwani unapoishi maisha yasiyo na tamaa, desires, lust na ujinga unaongeza kujitambua na nguvu ya kiimani. Pia sex inapelekea utokwaji wa mbegu za mwanadamu. Wanadamu wengi wanafurahia sex na wanaamini kuwa ni raha lakini hawajui kuwa uwezo wa tone moja la mbegu inayotoka ni sawa na matone 40 ya damu. Kwa maana kuwa mbegu ni aina ya majimaji ya mwili ambayo dhamani kubwa ya uhai imewekwa. Mtu anapotoa mbegu kila saa anapelekea mwili wake kulazimika kujinyima na kutengeneza mbegu kwanza lakini mtu asiyetoa mbegu zake mara kwa mara ile nguvu ya mwili kutengeneza mbegu inapungua na mwili unatengeneza nguvu ya kiroho, kimwili na kiakili. Na hata utafiti wa sasa unasema kuwa mbegu zisipotumika mwili unaziwekeza katika maendeleo mengine ya mwili. Hata ukitaka kujaribu kaa bila sex kwa muda mrefu na siku ukiingia kwenye sex unahisi mchovu na emotional imbalance.
Cha msingi ni kujitambua. Sex sio kitu cha kusema kitumike kuzidisha, na kwa ambao hawana muda na sex au wanadhiri nao wapo sawa kabisa.
Kibiblia iko wazi sana kuwa anayefanya zinaa na kahaba ni mwili mmoja na kahaba yaani ameunganishwa naye.Apollo Element zikiwa zinaungana utengeneza bond, na once ikiwa created itahitaji energy nyingine atrong kuweza kuachanisha those atoms zilizopo.
Nauchukulia muungano wa watu during sex kama aina ya bond hizo, maana kuna similarties nyingi sana.
Wataunganish bond zao ambazo ukirefer katika maandiko wanasema bond za kiroho zikitengenezw kifo ndo huweza kutengua, maan mnakuwa mme ji-channel.
hapo nakosea wapi
Nafikiri mkuu inabidi ufafanue kwa umakini upana sana athari za punyeto kiroho kwa kuzingatia hili ulilolisema hapa.Aisee! Hii account yangu ilijifunga ndio nikafungua hii.
Hapo sio kwamba ni wachawi wanakufanyia hivyo.
Ni wewe na tendo ulilofanya.
Tangia nakua kuna vitu vingi nimejifunza kutokana na hili tendo, iwe umelala na mwanamke au umepiga punyeto.
Hii hali nimeiishi kwa ushahidi kabisa kwa kipindi kirefu pasipo kujua. Kuna hata mambo watu wanasema ni uchawi lakini kwa utafiti nilioufanya kwenye mwili wangu nikajua kumbe hata mtu anaweza kujiloga mwenyewe.
mada nzuri ila ni wachache tu watakao kuelewa#
aretasludovick, nimekusoma mpaka kwenye avatar yako!!Hili ni somo lingine refu sana.
aretasludovick, nimekusoma mpaka kwenye avatar yako!!
mwili
nafsi
roho
body
soul
spirit
Nafikiri mkuu inabidi ufafanue kwa umakini upana sana athari za punyeto kiroho kwa kuzingatia hili ulilolisema hapa.
Nafikiri wengi humu almost 50% ni wahanga wa punyeto na wangependa kufahamu athari yake kiroho pia, na namna gani wachawi wanaitumia hii advantage