Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

Walimu wa kiroho wanakwambia jitenge na hilo tendo kwa muda wa masaa 72 kabla ya kufanya mazoezi yoyote ya kiroho.
Huo ni uongo au propaganda za dini. Hakuna kitendo ambacho ni spiritual in nature zaidi ya sex. Hasa sex ya kawaida man/ woman.Ni kitendo kinachoogopwa yet kinapendwa kuliko vitendo vingine vyote. Hapa siongelei kula na kunywa. Ni tendo takatifu prima facie.
 
Huo ni uongo au propaganda za dini. Hakuna kitendo ambacho ni spiritual in nature zaidi ya sex. Hasa sex ya kawaida man/ woman.Ni kitendo kinachoogopwa yet kinapendwa kuliko vitendo vingine vyote. Hapa siongelei kula na kunywa. Ni tendo takatifu prima facie.

Tueleze yakwako yakweli basi. Maana huku watu wanaleta na ushahidi kabisa
 
Huo ni uongo au propaganda za dini. Hakuna kitendo ambacho ni spiritual in nature zaidi ya sex. Hasa sex ya kawaida man/ woman.Ni kitendo kinachoogopwa yet kinapendwa kuliko vitendo vingine vyote. Hapa siongelei kula na kunywa. Ni tendo takatifu prima facie.

Hebu funguka mkuu, kitendo hicho kinaogopwa kivipi?
 
Naungana na wachangiaji wengi haswa mkuu Apollo kuwa sex is a source of body imbalance. Ukitaka kuwa na nguvu kubwa kiroho na hata kimwili na kiakili pia epuka utowaji wa mbegu za kiume mara kwa mara. Sex ni muungano wa kiroho na unayefanya nae mapenzi, but the question we should ask ourselves now is; How many spiritual connections have we attained because of sex? Na hao ambao wataconfess kwamba wameshafanya mapenzi na watu zaidi ya 100 up to now, mbona wengine hawapati balaa yoyote zaidi ya maisha yao kunyooka tu? Does that means waliokutana nao ni only good and positive spirits tu?
I better bet if am wrong...
 
Nakubaliana na we we ndugu kwa 98%. Na kuongeza kidogo ktk uumbaji bunadamu huanza na viungo vya uzazi hii INA maana take ktk athari za kiukuaji kwa viumbe. Spiritually pia tunaona kila siku watu wakishikamana ktk ndoa zao na maisha hunyooka vzr ila wakianza kusuguana ktk relationship yao hats hiyo sex huwa haina ladha tena Bali ni kutimiza wajibu na athari take in separation of those natural spirit(star) to cooperate matokeo take ni kushuka kimaisha sababu hizi spirit nyingi they normally work when man and woman cooperated by means of marriage or a sexual relationship in a trust way.
Excellent.
 
Naungana na wachangiaji wengi haswa mkuu Apollo kuwa sex is a source of body imbalance. Ukitaka kuwa na nguvu kubwa kiroho na hata kimwili na kiakili pia epuka utowaji wa mbegu za kiume mara kwa mara. Sex ni muungano wa kiroho na unayefanya nae mapenzi, but the question we should ask ourselves now is; How many spiritual connections have we attained because of sex? Na hao ambao wataconfess kwamba wameshafanya mapenzi na watu zaidi ya 100 up to now, mbona wengine hawapati balaa yoyote zaidi ya maisha yao kunyooka tu? Does that means waliokutana nao ni only good and positive spirits tu?
I better bet if am wrong...
Apollo njoo huku, majibu yako ni muhimu
 
Naungana na wachangiaji wengi haswa mkuu Apollo kuwa sex is a source of body imbalance. Ukitaka kuwa na nguvu kubwa kiroho na hata kimwili na kiakili pia epuka utowaji wa mbegu za kiume mara kwa mara. Sex ni muungano wa kiroho na unayefanya nae mapenzi, but the question we should ask ourselves now is; How many spiritual connections have we attained because of sex? Na hao ambao wataconfess kwamba wameshafanya mapenzi na watu zaidi ya 100 up to now, mbona wengine hawapati balaa yoyote zaidi ya maisha yao kunyooka tu? Does that means waliokutana nao ni only good and positive spirits tu?
I better bet if am wrong...
Apollo njoo huku, majibu yako ni muhimu
 
Naungana na wachangiaji wengi haswa mkuu Apollo kuwa sex is a source of body imbalance. Ukitaka kuwa na nguvu kubwa kiroho na hata kimwili na kiakili pia epuka utowaji wa mbegu za kiume mara kwa mara. Sex ni muungano wa kiroho na unayefanya nae mapenzi, but the question we should ask ourselves now is; How many spiritual connections have we attained because of sex? Na hao ambao wataconfess kwamba wameshafanya mapenzi na watu zaidi ya 100 up to now, mbona wengine hawapati balaa yoyote zaidi ya maisha yao kunyooka tu? Does that means waliokutana nao ni only good and positive spirits tu?
I better bet if am wrong...

Sababu sio kupata balaa mkuu japo hata hiyo ya mambo kunyooka pia inatokea. Ila sababu kuu ni kulinda ile nguvu yako. Hivyo kama unataka kufanya maswala yako ya kiroho kwa ufanisi basi upunguze hilo swala. Nimekujibu kwa jinsi nilivyowaelewa wachangiaji
 
Hii mada bado ina utata sana kwani sio kwamba ina uhakika kwa asimia kubwa. Hapana nayo ina utata wake kwani Sex ni tendo ambalo mwanadamu mpaka leo anajaribu kujiuliza lengo lake ni nini.

Kwa watu wanaoamini Occult wanaamini kuwa Sex ni gate of eden. Wanaamini kuwa Sex ni muunganiko wa mwanadamu yaani mwanamke na mwanaume. Pia wanaamini Sex ni uumbaji kwani hupelekea uumbaji wa maisha mapya ya mtoto. Occult wamefika mbali kwa kufundisha kuwa Orgasm ni tofauti na sex. Orgasm ni hisia inayopatikana katika sex. WanaOccult wamegawanyika hapa.


  • Kuna wanaoamini Sex ndio msingi mkuu
  • Kuna wanaoamini Orgasm ndio msingi mkuu na sex sio lazima.

Kwani Orgasm wanaamini inaamsha energy ya kujitambua mwilini.

Lakini mimi baada ya kujifunza sana, nimekuja kukataa kabisa kuwa Sex ni muhimu katika kujitambua. No Sex sio muhimu kwani wanadamu wengi waliokuja kujitambua waliwahi kujitenga na mahusiano na mwanamke kwa kipindi fulani au katika maisha yao yote. Hii ni uthibitisho kuwa sex sio gate to soul bali kuachana na desires ndio gates to soul. Sex ni njia ya kuweka uhai mpya kwa kuleta uhai tena kwenye hali ya uanadamu lakini pia sex ni kifungo ambacho mwanadamu anajifunga ili asijitambue. Ni kama ni njia ya pekee katika kuleta uhai lakini pia ni njia ya kukupoteza pia. Mfano mzuri na wanafunzi wa Yesu waliacha kuendelea na mahusiano na wake zao na kushikilia imani kwa kujitambua. Lengo kuu ni kujitambua kwani unapoishi maisha yasiyo na tamaa, desires, lust na ujinga unaongeza kujitambua na nguvu ya kiimani. Pia sex inapelekea utokwaji wa mbegu za mwanadamu. Wanadamu wengi wanafurahia sex na wanaamini kuwa ni raha lakini hawajui kuwa uwezo wa tone moja la mbegu inayotoka ni sawa na matone 40 ya damu. Kwa maana kuwa mbegu ni aina ya majimaji ya mwili ambayo dhamani kubwa ya uhai imewekwa. Mtu anapotoa mbegu kila saa anapelekea mwili wake kulazimika kujinyima na kutengeneza mbegu kwanza lakini mtu asiyetoa mbegu zake mara kwa mara ile nguvu ya mwili kutengeneza mbegu inapungua na mwili unatengeneza nguvu ya kiroho, kimwili na kiakili. Na hata utafiti wa sasa unasema kuwa mbegu zisipotumika mwili unaziwekeza katika maendeleo mengine ya mwili. Hata ukitaka kujaribu kaa bila sex kwa muda mrefu na siku ukiingia kwenye sex unahisi mchovu na emotional imbalance.

Cha msingi ni kujitambua. Sex sio kitu cha kusema kitumike kuzidisha, na kwa ambao hawana muda na sex au wanadhiri nao wapo sawa kabisa.

Umechambua vizuri sana hapo kwenye tone moja la mbegu kuwa sawa na matone 40 ya damu.

Lakini ninachojua ni kuwa nguvu hii iliyoko kwenye kutengeneza mbegu mpya za kiume isipoelekezwa kwa umakini katika mambo ya kiroho na mambo ya kuijenga nafsi hupelekea kurudi katika mwili na kuwa na negative impact zaidi ya nguvu ya kwanza.

Kwamba, si kila mtu anaye abstain kufanya sex au kutoa mbegu zake huwa anapata mafanikio ya kiroho au kinafsi kwa sababu ya nguvu hio, wapo wengi tu ambao nguvu hio hurudi kuuharibu mwili na hata nafsi kwa kutibua emotions na free will kitu kinachomfanya mtu awe "mnyama zaidi" kuliko kuwa "binadamu zaidi" na jambo hili ni scientifically and spiritually proven.

Zipo njia nyingi sana za ku divert nguvu hii iwe ya kiroho au itumike kuijenga nafsi lakini kuu 4 ni KUFUNGA, KUFANYA MEDITATION na VISUALIZATION na MAOMBI.

Ndio maana mtu asiye fanya miongoni mwa hayo nguvu hii humpelekea kua mtu wa kuwaka tamaa za ngono muda wote au mtu wa aibu sana au hasira sana au mtu wa kujitenga na watu na upweke na mambo yote machafu unayoyajua.
 
Apollo Element zikiwa zinaungana utengeneza bond, na once ikiwa created itahitaji energy nyingine atrong kuweza kuachanisha those atoms zilizopo.

Nauchukulia muungano wa watu during sex kama aina ya bond hizo, maana kuna similarties nyingi sana.
Wataunganish bond zao ambazo ukirefer katika maandiko wanasema bond za kiroho zikitengenezw kifo ndo huweza kutengua, maan mnakuwa mme ji-channel.
hapo nakosea wapi
Kibiblia iko wazi sana kuwa anayefanya zinaa na kahaba ni mwili mmoja na kahaba yaani ameunganishwa naye.

Na nimeshuhudia mara kibao watu wakifunga na kuomba kuvunja hizi bond na wanawake wote wanaowakumbuka waliokwisha shiriki nao hili tendo na hawa jamaa wanasema mambo yao huwa nayawanyookea sana baada ya hilo zoezi.

So spiritually na practically ninakubali kuwa kuna bond inaundwa mtu unapofanya zinaa na mtu mwingine
 
Aisee! Hii account yangu ilijifunga ndio nikafungua hii.

Hapo sio kwamba ni wachawi wanakufanyia hivyo.
Ni wewe na tendo ulilofanya.
Tangia nakua kuna vitu vingi nimejifunza kutokana na hili tendo, iwe umelala na mwanamke au umepiga punyeto.
Hii hali nimeiishi kwa ushahidi kabisa kwa kipindi kirefu pasipo kujua. Kuna hata mambo watu wanasema ni uchawi lakini kwa utafiti nilioufanya kwenye mwili wangu nikajua kumbe hata mtu anaweza kujiloga mwenyewe.
Nafikiri mkuu inabidi ufafanue kwa umakini upana sana athari za punyeto kiroho kwa kuzingatia hili ulilolisema hapa.
Nafikiri wengi humu almost 50% ni wahanga wa punyeto na wangependa kufahamu athari yake kiroho pia, na namna gani wachawi wanaitumia hii advantage
 
mada nzuri ila ni wachache tu watakao kuelewa#

Ni kweli kabisa ni ngumu kueleweka kirahisi, ila ukweli ni kuwa unapo-sex na mtu unajenga bond kimwili, kiroho na pengine kifikra pia!
 
Nafikiri mkuu inabidi ufafanue kwa umakini upana sana athari za punyeto kiroho kwa kuzingatia hili ulilolisema hapa.
Nafikiri wengi humu almost 50% ni wahanga wa punyeto na wangependa kufahamu athari yake kiroho pia, na namna gani wachawi wanaitumia hii advantage

Punyeto nimeiwekea tahadhari kwa kuwa 90% ya wapiga pull huwa hawawezi tena hata kujiwekea ratiba japo hata kwa week mara moja.
Wao huwa kama sio asubuhi na usiku, basi itakuwa ni kwa siku mara moja ambayo haitakiwi kabisa.
Madhara yake ni makubwa sana kuanzia kimwili na kiroho pia.

Madhara ya kiroho ni kama wewe kuwa wa bahati mbaya kila siku na kama utafanya tahajud/meditation itakuchukua muda mrefu kuona matokeo kama sio kushindwa kabisa.

Madhara ya kimwili ni wewe mwenyewe kukosa kujiamini, kusahau sahau hovyo.
Mfano kukumbuka kitu kwa wakati uleule kinapohitajika unakuwa ni mdogo, kujidharau mwenyewe/kutokujipenda, macho nayo saa nyingine huwa yanauma, kukondeana, kama hutumii madawa ya kulevya au pombe utakuwa unajitenga na watu.
Kuwa na uchovu muda wote, kuwa na aibuaibu sana mbele za watu nk:

Madhara haya si kwa mpiga punyeto tu.
Hata kama wewe unalala kimwili na mtu kwa siku mara 2 au zaidi kila siku madhara yake ni kama hayo hapo juu.
Haya mambo niliyapitia nikiwa sijui na baada ya kujua pia nikayafanyia tena uchunguzi.

Kama wewe utakuwa unafanya huu mchezo kila siku mara 2 au zaidi, utakuwa ni shahidi. Hata kama unafanya kila siku mara 1 utakuwa shahidi pia japo utakuwa hujaathirika kama wale wa mara 2 kwa siku.
 
Back
Top Bottom