Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

Pasco tunakusubili hapa jamvini.
[h=1]Kwa nini watu wanacheat?[/h] [h=3]Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza.
ukifika nenda Sacred Sexuality

Pasco
 
kuna grl frnd wang nlitafuta sababu ya kumuacha bila kufanikiwa.7bu ilkua ivi kila jambo linalotokea katika familia yake haipiti wiki linatokea kwe2 nmambo flani yasio elezeka bt kwa uzi huu napata kitu kpya?kuna kpind mdogo wake alipotea bila kufankiwa mpata haikupta mda mdogo ang akapotea.mdogo wake alpofark namii upande wan dogo akaanza ugua saaaana apa ndo 7bu ya kustisha sex nae....nmegundua ki2 tang yankute cjawah taman na kupata hisia tena ya sex WAKUU JIFUNZENI KI2 LEO. m nsha prove vyote vilivyo ongelewa na Apollo.
 

_pole sana mkuu ,
kwa hiyo na mdogo wako alivuta au?
 

Pole sana mkuu, afadhali ulishtuka mapema
 
Mada nzuri hii inanifungua zaidi ktk kufikiri na kutenda ,mleta mada binafsi nakushukuru
 


mmmmmmm
hatari
nakuamini tena sana,hii ni starehe na homons husika huongezeka ukitumia ila katika kuongeza hisia za kutaka zaidi unakuta nguvu nyingi za mwili huondoka....vijana wajue kuwa unaweza kuishi bila sex hadi muda muafaka
 
Mi hizo poz kwenye picha zimehamisha fikra zangu... Nitarudi badae kusoma
 
 
Sex bahati mbaya au nzuri hufanywa ndani ya nafsi, na mtu akiwa ana connection na nafsi nyingi, atakuwa anachafua nguvu za ndani na roho wa MUNGU atahama huo mwili
 
Yoga ni mkao wa vp mkuu
Usifanye kitu usicho kijua Mzee, unaweza jikuta upo ktk connection za ovyo sana za rohoni. Na incase ukiwa hufahamu haya mayoga n. K ni imani kabisa, sio funny games. Jambo lolote linalohusisha ishu za mind na roho, jua kuna SOURCE KUBWA YA HIZO POWER
 
Ndio maana ukipewa muda ukaambiwa orodhesha watu uliowahi vunja nao amri ya sita utawakumbuka wote ata Kama wapo 1000
 
Inakuwaje kama natumia condom??si hakuna connection apo??ebu nifafanulie apo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…