Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

EP PRO unachosema ni kweli. Kama yogi nina experience ya ulimwengu wa Roho. Kwenye ulimwengu wa kiroho hakunaga past or future, it is only the moment. Kwa wale wanao practise Yoga na Kufanya Meditation wanajua ugumu wa kufanya concentration ya kuwa kwenye moment yaani kuweka fikra na nguvu zote kwenye kitu unachokifanya pale ulipo. Unaweza kuwa unafanya kitu fulani pahala fulani lakini fikra na nguvu zako zinakuwa zimetawanyika sehemu mbalimbali kabisa, ama fikra zinakuwa kwenye muda uliopita (kukumbuka mambo yaliopita na kuyaishi) au kuwa kwenye muda ujao (kwenye mipango inayoitarajia na kuyaotea) au hata mbali na ulipo (kufikiria nini kinafanyika huko na ungelipenda uwepo) ni ngumu sana kuweka fikra ulipo na kwa kile unachofanya kwa wakati huo. To be in moment.

Kuna njia mbili za asili zinazokulazimisha uwe kwenye moment nazo ni Sex and Death tuu, yaani kujamiiana na wakati wa kukata Roho basi. Sex sio guarantee, zingine zina uselfishness ndani yake, ila mara nyingi unakaribia hiyo experience na hasa ikifanywa na wapendanao. Kwenye tendo hili ni tendo pekee kiumbe kitendacho kinatenda bila ubinafsi, bila kinyaa, bila uchoyo, bila uroho, wala hakijali utajiri au umasikini wake au muhusika mngine na hasa pale unakaribia na kufika kileleni. Pale unaziacha dhambi zote za asili na kuwa mmoja na Mungu ( uliambiwa ukimtendea wema binadamu mwenzako unamtendea mungu). Katika Sex ndio tendo linafananishwa na mkutano wa UTATU mtakatifu, kwani lina uwezo wa kuumba. Yaani Baba, Mama na Roho mtakatifu (Roho isiyo mwilini) wanaungana kuwa kitu kimoja na na kusababisha kiumbe kingine katika ulimwengu.

Kwa wabobezi wa a Spirituality wanaelewa how it is very important to attain a moment state of being, because thats were the God and Truth can be found and realized afterwards.

Apart from natural ways thst makes possible to attain moment state of conciousness yaani Sex and Death, iko njia nyingine hufundishwa kwa siri kupitia tamaduni mbalimbali za kizamani.

- Kama awekening (kuamusha chakra kupewa uwezo kutumia jicho la tatu),
- Spiritual initiotion (Ubatizo katika Roho)
- kwa kutumia mafunzo kama Kung fu na karate,
- Yoga mbali mbali.
- Kutumia majani na mizizi ya uoto mbalimbali kama Rastafarian wakitumia Ganja.
- Vileo kwa wale wanaitwa drunked Masters

Hi ni namna ya kukufanya uondoke kwenye hali ya kawaida na kuwa kwenye moment or to get to higher conciousness. Kufananisha tuu hii experience kwa mtu wa kawaida sio rahisi ila labda kwa wale wateja wa madawa ya kulevya wanaweza elewa. Ni kuwa kwenye state ya kuwa higher but controlled and managed with purpose of being.

Kuna aina moja ya Yoga inaitwa Kundaline wao hutumia kujichua au kupiga punyeto ilijipeleka kwenye state ya moment na ku-attain higher spirit conciousness.

In the moment there is silence, and there is Love and Truth, that is where the Beginning meet with the End and there is where God exist everywhere and anytime.

Ni wakati mwili wala akiri haikutumikishi bali unakuwa shuhuda wa yote yatendwayo na uhuru ulionao.
 
Nmepata kukusoma vema kwa utulivu. Umezungumza mambo mengi ambayo ni fumbo la rohoni, na misingi yake ni imani za mashariki ya mbali.

Kiukweli, nilivyosoma napata kuona huongei hear say, bt ni vitu unavyo experience na kweli vina exist. Nilikuwa msakaji wa maarifa hayo. Kidogo ni kuwe mfuasi mzuri wa Aliester ila i dony belong there.

Lakini kiukweli huko, kuna power ila power zenyewe ndio hivyo.

Tutasemezana kidgo, kando
 
Karibu sana.
 
Mkuu unamaanisha mtu kuachia manii ni kuachia dhambi..! Ebu dadavua hii ukipata mda
 
Natumai wewe ni mtu mzima na unafanyaga sex, why don't you put into observation kitu nilichokiandika, by putting things in practical experiment and learning from experiencing is good way of acguiring first hand knowledge that reading and listening. Jiulize je wakati ukisex hivo qualities nilizozitaja unawanazo?
Mkuu unamaanisha mtu kuachia manii ni kuachia dhambi..! Ebu dadavua hii ukipata mda
 
Mimi nafanya sana tu_tena sana

Ila sijawahi kuhisi nipo karibu na Mungu ndio nashangaa..! Ninacho experience ni uchovu na majuto ya kujichosha kwa sababu za kipuuzi

Sasa ndio nakuuliza wewe mwenye ufahamu unayesema kwamba pale naachia dhambi na nakuwa karibu na Mungu kivipi..!?

Au labda kwakuwa mimi Mungu simjui au Mungu ndio ule uchovu wangu nakanganyika_Ebu niweke sawa mkuu
 
Unasikia during or after sex? [emoji848] Huta kaa uelewe haya mambo mkuu unless you are ready, potezea tuu. Sio kila jambo linaeleweka kwa kila mtu. Sorry nili meant kumjibu mtoa bandiko kwani aligusa level yangu ya uelewa nashukuru amenielewa na pia ameniomba tukutane kwa boks, anajua some of peoples will not understand these kind knowledge. Nilijaribu kukujibu nikijua nawewe ni seeker, nimegungua sio mmoja wetu. Naomba kwa Heshima sana tuishie hapa
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Sawa mkuu[emoji120]
 
Inategemea unafanya na nani, unafanya vipi,sasa unamdinya amber luty unadhani nini kitakutokea km siyo mikosi,
Halafu siyo kila kumlalia mwanamke ama kulaliwa na mwanaume yapasa tukupe hadhi ya kuita sex,mengine ni kupunguza nyege tu km ilivyo punyeto
 
Hi number 3 nitaifanyia kazi
 
Soul ties is real. Kuna procedures za kutoa hizo mambo..maana ni spirits zinakuwa zinashikamana na wewe. Kama ambavyo mtu anashika mimba na kuzaa...unapotenda dhambi unazalisha roho, zinaota na kukuaa...na kukua..na kukua.

Kwenye ngono ndio kunazaliwa majini mahaba (hasa wale wanaozini na watu wengi..maana jini mahaba means spirit inayofsnya mapenzi na wengi)
 
Spirituallity lacks vocabularies to emphasize it.
Its something that can not be told but can be experienced
Its something that can not be touched but be felt.
Ni kama ujaribu kuelezea rangi ya mbingu kuwa ni blue wakati kiukweli what you see is the limit of your vision.
Forgett about yoga,meditation or sex ila kama ni mkristo jaribu kujiuliza kwanini yesu alitoa hii statement "je hamkuweza kukesha nami hata saa moja"
Msisitizo wa yesu haukuwa kuomba bali ulikuwa kwenye "saa moja" katika maombi.
Kwanini saa moja?

Kwa muombaji/mkristo ukikaa kwenye maombi ndani ya zaidi ya dakika 50-60 unakuwa unashindana na hustory of your day or your past pia unakuwa unashindana na mission na vision zake kuhusu future yako.

Ina other way unakuwa physically occupied.body inakupull back wakati nafsi inajaribu kufungua a new state reality and experience ambayo ni out of imagination.

Ukikazana baada ya saa 1 mpka mawili mind mind inaacha kustrugle ila ina adapt kwenye new state ambapo ni no strugle ila being submissive to reality.that's where spirit totally dismantle physical presence .

Hahaa hii mambo ngumu mno ila ina raha zake.
 
Licha yakufatilia hii mada kutoka kwa makungwi mbali mbali ila bado nahitaji mda sana kuyajua haya mambo japokua naona kuna elimu kubwa ya kujitambua nakuachana na uovu.nawashukuru ambao wamedare kutoa michango yao yamaana sana ila hii mada nifikirishi.nainaukweli ndani yake .
 
Umetaja zaidi madhara au effect za sex. Ebu fafanua biologically jinsi sex inavyofika kwenye nafsi na kuwa chanzo cha matatizo. Kumbuka sex ni physical (biologically), kivipi iwe au ifike spiritual?
 
Umetaja zaidi madhara au effect za sex. Ebu fafanua biologically jinsi sex inavyofika kwenye nafsi na kuwa chanzo cha matatizo. Kumbuka sex ni physical (biologically), kivipi iwe au ifike spiritual?
Mbali na magonjwa ya kibailojia au side effects za attachment ya Limbic system, programs za subconscious mind, kuachiana blueprint za DNA. Kuongelea sana biolojia lazima tujue kwa common understanding ya biology otherwise tutaishia kuzunguka sehem moja ,mkuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…