SEX in marriage. Kipi ni kipi?

SEX in marriage. Kipi ni kipi?

Kama nilivosema nimeacha sex spesheli kabisa kwa kujiandaa kwa ndoa na mume ambae hadi
dakika hii sijampata. Hadi najihisi bk kabisaa. Of coz kuna promising kandidets, hivo bado nafanyia kazi.
Kuwatonya labda niseme shemeji yenu huyo naona atatoka hapa hapa jf. Raha iliojee?
niko kwenye mchakato wa kuweka mambo sawa, mambo yakijibu habari kwa mtindo wa news alert fasta!

Nikiwa najiandaa na ndoa ni mengi najifunza. Siku hizi wanandoa tunaiva kweli, wamekuwa
marafiki zangu wakubwa! nipo kama katika research flani hivi ya kuhakikisha najua najiingiza
kwenye nini na nini nitegemee. Kipengele cha kwanza kukifanyia utafiti ni sex in marriage.

Risechi yangu haijakaa vyema. Wote ninao wauliza wanasema wana a wandafu sex life hata
wale ambao nawafahamu wanacheat wake kwa waume! Nabaki na bumbuwazi Erotica mimi.
Kama SEX ipo wandafu kama madai yao kwa nini acheat, kwa mwanaume utasema
nature inamzingua (sentensi ambayo sinunui kwa bei yoyote, uzushi mtupu), mwanamke je nae
ni nature yamzingua? Hata mimi ambae nilikuwa nabadilsha kama nguo nilikuwa nikipata anayeweza dhibiti,
nakuwa kwa ajili yake tu na hapo wala hata hatuna promises zozote!

Then ktk risechi yangu dada zangu wengine wananiambia lazima uwe mpole, mnyenyekevu na mfuata
upepo dizaini unapo kuwa faragha na mume. Upole kwenye kiwanja? Naona kama mzaha vile!
Kwani kuna ubaya gani nikileta kile kichaa changu ninachokuwa nacho ninapokuwa na ny.ge na wakati pale nang.noka? Na kujiachia kimatendo na kistarehe kwa kujua nipo kula chakula cha roho na cha K? mie sielewi ati. :confused3:
Wanandoa eti sex katika marriage iko vipi? Inatakiwa iwe vipi?



Mwaaaaaah! Hata kama I feel lost!😛eep:


Hmana kipya zaidi ya ku top up from what you have or experience...!
 
-miezi minne ya kwanza mnaogeshana kwa maji ya hiliki na pilipili manga halaf mnasex kila siku mara 2 na mnafika vileleni nyote.

-baada ya miaka miwili mnasex kwenye matukio ya furaha tu, labda mmoja kaongezewa mshahara n.k na sex yenyewe inaisha ndani ya dakika nne including foreplay (hapa nimeongea kisayansi zaidi)

- Baada ya miaka 4 (kama mtafika), mnasex kwa kufukuzana kama panya, halaf wakati mnasex kila mmoja anamtolea macho mwenziwe kama tuko kwenye vita vya majimaji.

-Baada ya miaka 6 mke anaanza kungonoka ofisini na boss wake, na mume anangonoka gesti na JF memba walokutana MMU na Chit chat. (hapa mwenye bahati mbaya ndio anafumaniwa)

Nimemaliza

-
 
Erotica mydia, ingawa umesema hununui kwa bei yoyote, niko tayari kukukopesha, wanaume wengi kucheat ni jadi na nature inawaruhusu kwa kuwa wameumbwa kutokuridhika kwa kuwa wao wanaingiza, wanakoroga huku wakikijua wanachokitafuta humo bakulini. Asikudanganye mtu wengi wao wanatamani bakuli jipya kila kukicha as long as amelitumia hili la sasa mara mbili tatu na hajaona mpya yoyote. No wachache sana ambao wanarishika na hilo bakuli na hata wao ukichunbguza sana utakuta ni wale ambao mwenye bakuli huwa anabadilisha viungo, kama leo analitilia supu, basi kesho mchemsho, kesho kutwa makande, mchicha chukuchuku ili mradi bwana kila akilikumbuka hubaki kujiuliza sijui leo bakuli langu litakuwa na nini!

Tofauti na mwenye bakuli, as long as ukijua wapi pa kulisafisha, au supuye, mchemshowe waliwa vipi basi umemaliza kila kitu. Bakuli nyingi hazina makomplikesheni mengi as long as linaridhika kunywewa kwa kijiko au kuvuta kwa mdomo, umelikamata. Usiombe kukutwa, wakishagundua ile spot yako iko wapi am telling you atakuwa akihit hapo hapo tu hata kama ni within three secs.............ashajua akikukunja vije anaipata basi atakukunja hata kama huko tayari kukunjwa na wewe unajihesabu umeridhika na kifuani wamfukuza, huna varieties, sio yeye aisee anazo paths nyingi hadi afike unless ucremu zile za kubana, kukamua na kuachia of which bado utakuwa wajipunja wewe

Mbu usiisome hii ost tafadhali Soulmate wangu. Ipotezee

.....😀 hahahaha....raha ya bakuli aijua mlaji au? .....e bana penye njaa miiko huvunjwa....hata mie kuna mida 'sikumbuki' nililipakatia, nilikula upande upande, au chini juu....

Asante kwa ukumbusho soulmate. Will try it at home....😛
 
-miezi minne ya kwanza mnaogeshana kwa maji ya hiliki na pilipili manga halaf mnasex kila siku mara 2 na mnafika vileleni nyote.

-baada ya miaka miwili mnasex kwenye matukio ya furaha tu, labda mmoja kaongezewa mshahara n.k na sex yenyewe inaisha ndani ya dakika nne including foreplay (hapa nimeongea kisayansi zaidi)

- Baada ya miaka 4 (kama mtafika), mnasex kwa kufukuzana kama panya, halaf wakati mnasex kila mmoja anamtolea macho mwenziwe kama tuko kwenye vita vya majimaji.

-Baada ya miaka 6 mke anaanza kungonoka ofisini na boss wake, na mume anangonoka gesti na JF memba walokutana MMU na Chit chat. (hapa mwenye bahati mbaya ndio anafumaniwa)

Nimemaliza

-
Shemeji mbona interval yako ni kubwa sana aisee.............wengine wanaanza kungonoka na mabosi wakiwa bado wachumba za watu, wanashindwa tu kukatili uchumba kwa kuwa bosi tayari ana familia na yeye possibility ya kuwa na ile heshma ya Mr au Mrs Flani itapotea.
 
Shemeji mbona interval yako ni kubwa sana aisee.............wengine wanaanza kungonoka na mabosi wakiwa bado wachumba za watu, wanashindwa tu kukatili uchumba kwa kuwa bosi tayari ana familia na yeye possibility ya kuwa na ile heshma ya Mr au Mrs Flani itapotea.

Interval nimeiweka kubwa ili kumheshim Mungu walau kidogo shem. Lakini kiuhalisia hata wewe umeiweka kubwa. Sku hizi zile anniversary za ndoa watu tunafata keki ya bure tu.

Halaf hii signature inamaanisha nini shem? .. Ni Wewe...
 
Bishanga, mumewe anaweza kukimbia kwa kukosa usingizi...kila saa anadaiwa kufanya kazi. Akifika ofisini yuko hoi....grwaride lazima limshinde kwa binti huyu Erotica
Zipo dawa za kihaya akinywa atakuwa full gado 24/7....365 days.
 
Last edited by a moderator:
Erotica mydia, ingawa umesema hununui kwa bei yoyote, niko tayari kukukopesha, wanaume wengi kucheat ni jadi na nature inawaruhusu kwa kuwa wameumbwa kutokuridhika kwa kuwa wao wanaingiza, wanakoroga huku wakikijua wanachokitafuta humo bakulini. Asikudanganye mtu wengi wao wanatamani bakuli jipya kila kukicha as long as amelitumia hili la sasa mara mbili tatu na hajaona mpya yoyote. No wachache sana ambao wanarishika na hilo bakuli na hata wao ukichunbguza sana utakuta ni wale ambao mwenye bakuli huwa anabadilisha viungo, kama leo analitilia supu, basi kesho mchemsho, kesho kutwa makande, mchicha chukuchuku ili mradi bwana kila akilikumbuka hubaki kujiuliza sijui leo bakuli langu litakuwa na nini!

Tofauti na mwenye bakuli, as long as ukijua wapi pa kulisafisha, au supuye, mchemshowe waliwa vipi basi umemaliza kila kitu. Bakuli nyingi hazina makomplikesheni mengi as long as linaridhika kunywewa kwa kijiko au kuvuta kwa mdomo, umelikamata. Usiombe kukutwa, wakishagundua ile spot yako iko wapi am telling you atakuwa akihit hapo hapo tu hata kama ni within three secs.............ashajua akikukunja vije anaipata basi atakukunja hata kama huko tayari kukunjwa na wewe unajihesabu umeridhika na kifuani wamfukuza, huna varieties, sio yeye aisee anazo paths nyingi hadi afike unless ucremu zile za kubana, kukamua na kuachia of which bado utakuwa wajipunja wewe

Mbu usiisome hii ost tafadhali Soulmate wangu. Ipotezee

bonge la somo,mbu anafaidi jamani,i i wish ningekuwa mbu.
 
-miezi minne ya kwanza mnaogeshana kwa maji ya hiliki na pilipili manga halaf mnasex kila siku mara 2 na mnafika vileleni nyote.

-baada ya miaka miwili mnasex kwenye matukio ya furaha tu, labda mmoja kaongezewa mshahara n.k na sex yenyewe inaisha ndani ya dakika nne including foreplay (hapa nimeongea kisayansi zaidi)

- Baada ya miaka 4 (kama mtafika), mnasex kwa kufukuzana kama panya, halaf wakati mnasex kila mmoja anamtolea macho mwenziwe kama tuko kwenye vita vya majimaji.

-Baada ya miaka 6 mke anaanza kungonoka ofisini na boss wake, na mume anangonoka gesti na JF memba walokutana MMU na Chit chat. (hapa mwenye bahati mbaya ndio anafumaniwa)

Nimemaliza

-
Amini amini nasema...klorokwin ni jinius,yaani hii analysis ni pafekt asilimia elfu moja.
Kula 'likes' salasini za ukweli.
 
Interval nimeiweka kubwa ili kumheshim Mungu walau kidogo shem. Lakini kiuhalisia hata wewe umeiweka kubwa. Sku hizi zile anniversary za ndoa watu tunafata keki ya bure tu.

Halaf hii signature inamaanisha nini shem? .. Ni Wewe...

Oh okay hapo imekuelewa............By the way Shem please ninaomba nigonge chumbani kwako (Kwa ruhsa ya Soulmate lakini).......... nina shida na wewe.

Signature ni kwa Yeye kuisoma Shem.................... Ni Yeye!
 
Oh okay hapo imekuelewa............By the way Shem please ninaomba nigonge chumbani kwako (Kwa ruhsa ya Soulmate lakini).......... nina shida na wewe.

Signature ni kwa Yeye kuisoma Shem.................... Ni Yeye!
Gonga kama hautokuwa na kikao kirefu kwasababu nina kama dakika 15 tu za kubaki online. acha nikufukizie udi lol
 
Ijumaa Rose garden....kuna karibu kila mtu pale....huko kwingine watu wanakaaa kunywa weee na kuongea vingereza vingi. Cha mno unaweza kuambulia kuongeza namba kwenda 30.I mean hivyo viwanja vyenu vya saizi ya kati na juu...


kwa hiyo ina mana saizi uko tayari tuonane Ndahani?
 
Last edited by a moderator:
bonge la somo,mbu anafaidi jamani,i i wish ningekuwa mbu.

....😱??? ....baaas? ....umeona bakuli lasifiwa weye mimate ishakujaa mdomoni? Hujui gharama za kulitunza, wala kilichomo?

....haya basi, nawe jitwishe plasmodium uwasambaze kama waniona nafwaudu kukoswa koswa makofi na moshi wa X-pel...
 
Hakuna cha sumbawanga hapa .....ni mapenzi ya dhati tu wifi.....tena nahisi kakako ndie aliniendea sumbawanga manake niliwezaje kumkubali na ile sura ngumu vile?.......
Vin Diesel nisamehe sana my darling ile haikuwa akili yangu kabisa.....nakuahidi kuwa mtulivu daima![/QUOTE]
Vin Diesel huyu mdada amechungulia bank akaunti yako zikiisha atakuhama utulivu utausoma mwulize nitonye sura ngumu hukuona aliona pesa

Kweli kabisa....kachungulia akaunti ya moyoni kwangu na kaona kila kona pameandikwa sweetlady....
 
Last edited by a moderator:
Nitatumia resources zote nilizonazo hili lisitokee, i will give my all.

Labda aende huko nisijue kabisa, maana mie sitaenda hata ikikatwa au kushonwa na cherehani.


Kongosho the way sex ilivo tamu ni kazi kweli ku imagine.

haya mambo ni pale ikitokea ukafaulu mtihani ndio wajinadi mda huo. ndio mana ukaitwa mtihani.
 
Last edited by a moderator:
KARIBU UJIONEE erotikaMIMI NINA USHAURI MMJA TU NDOA SIO KAMA WATU WANAVYOSEMA ,UNAVYOSIKIA NA UNAVYONA WATU WANATENDEWA KILA SIKU

MIMI NINA IMANI GANI JUU YA NDOA ?
HUWA NAAMINI HIVI KILA MTU ANA JINSI ALIVYOUMBWA NA TABIA TOFAUTI KABISAA ,KWA HIYO KARTIKA MASHAURI YA NDOA MTU ASIKUSHAURI FANYA HIVI FANYA VILE UKAVIBEBA VIZIMA VIZIMA MTU MWINGINE AKIMFANYIE VILE MUME /MKE WAKE OH NIFURAHA KUBWA WENGINE SIO/
NINI LAKUZINGATIA ?
MSOME MWENZI WAKO UWANJA WAKE WAMAPENDELEO,KWA MAPANA ZAIDI ,ANAPENDA NINI ,HAPENDI NINI ,UWANJA WAKE WA NYUMBABI KW A UJUMLA hahahah utaenjoy wewe EROTIKA



umeniandikia herufi kubwa nimeelewa bila kupenda! teh teh teh. maneno kuntu haya nivea.
 
Last edited by a moderator:
....😱??? ....baaas? ....umeona bakuli lasifiwa weye mimate ishakujaa mdomoni? Hujui gharama za kulitunza, wala kilichomo?

....haya basi, nawe jitwishe plasmodium uwasambaze kama waniona nafwaudu kukoswa koswa makofi na moshi wa X-pel...

Sa na weye ndo nini kumtisha Cricial Man wa watu? Kwani umesahamu ukitaka utamu wa ngoma uimgie ucheze na utamu wa ngoma omo marejeo ngamani?

Mbona wanizibia Soulmate?
 
sex katika ndoa,mwanzo mwanzo huwa nzuri,kila style mnapeana.ila baadae mmoja wapo huchoka.kama mke,utaishia kulala chali tu,mr aingize tena una muhimiza amalize ili uondoke.excitement inakuwa haipo tena,mna focus kwenye majukumu yenu tu,kwani ndoa sio sex peke yake.



teh teh teh kisukari, sasa kama sio sex peke yake, kitu gani cha kutuunganisha as 1?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom