Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
ππππKwani tumeunganishwa na nini? Jibu hapa tuone nani muongo.
Cha msingi tumeunganishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππKwani tumeunganishwa na nini? Jibu hapa tuone nani muongo.
Ni rahisi kumbadili mwanaume muhuni kuwa gentlemanMbona hilo wanawake tulio wengi tunalijua?
Issue ni kwamba inategemea wewe ni mwanaume wa aina gani pia, ukiwa muhuni na mshenzi na sisi tunaenda na flow.
Ukiwa mstaarabu na unaonekana kabisa unafaa kuwa mume, vya ziada muhimu. Tunakuwa mpenzi, mshauri, mfariji, mshkaji na hata msaidizi.
Thank you so much.Bonge la uziπ
πππππππ
Cha msingi tumeunganishwa.
Uzi mzuri sana... Shida wanaendeshwa na emotional sio akili. Huu Uzi Kwa mtu anayetumia akili itamjenga sana na utapewa maua Yako bro!
Sio kweli kabisa point zako zote mbili ulizoziandika ni kinyume chake. Ukiwa bad boy ndio mwanamke anakuganda. Jichanganye ujifanye nice guy sasa uone akili za mwanamke zilivyo fyatuMbona hilo wanawake tulio wengi tunalijua?
Issue ni kwamba inategemea wewe ni mwanaume wa aina gani pia, ukiwa muhuni na mshenzi na sisi tunaenda na flow.
Ukiwa mstaarabu na unaonekana kabisa unafaa kuwa mume, vya ziada muhimu. Tunakuwa mpenzi, mshauri, mfariji, mshkaji na hata msaidizi.
Sasa Mkuu wewe ndio mwanamke au mimi?Sio kweli kabisa point zako zote mbili ulizoziandika ni kinyume chake. Ukiwa bad boy ndio mwanamke anakuganda. Jichanganye ujifanye nice guy sasa hapo tegemea uone akili za mwanamke zilivyo fyatu
Mimi ni mwanaume ulichoandika ni kinyume chake maana naona jinsi nice guys wanavyoteswa kwenye mahusiano yao ukilinganisha na bad boys. Mimi mwenyewe nilikua kundi la nice guys kabla wakina dada hawajanibadilisha, now am a monster himself.Sasa Mkuu wewe ndio mwanamke au mimi?
Sasa mimi nimesema mtazamo wangu kama mwanamke, na namaanisha nilichokisema kwa kuwa nimekipitia.Mimi ni mwanaume ulichoandika ni kinyume chake maana naona jinsi nice guys wanavyoteswa kwenye mahusiano yao ukilinganisha na bad boys. Mimi mwenyewe nilikua kundi la nice guys kabla wakina dada hawajanibadilisha, now am a monster himself.
Amen π Shukrani sana.Uzi unafunzo kubwa
Hata wewe ni mbishi sanaTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Kama umemwelewa utaponya penzi lakoUzi unafunzo kubwa
Exactly ndugu yangu,, uko sahihi kabisa.NATAMANI WANAWAKE WOTE WANGEKUSOMA NA KUKUELEWA.
-HOJA ZAKO ZOTE ULIZOWAHOJI
NDIZO ZINAUA PENZI