sex with bf/gf soon before marriage with someone else

sex with bf/gf soon before marriage with someone else

....upuuzi mtupu,sasa si angelolewa na huyo?hana maisha marefu ya hiyo ndoa
 
Duh!!! Hapo hakuna ndoa m2 wangu mwambie mshikaji anayeoa awe makini mno inamaana hiyo tabia itaendelea hata akiolewa.
 
Aya mambo yapo sana2...mi last year ilinitokea,nlpata kuwa na grl friend wangu toka mda sana,kumbe wakati nafahamiana nae ye alikuwa tayal na mtu,lakin alnfcha sana yani sana2,badae nikagundua..nkamtema lakn akawa analia,anakuja adi geto kwangu,hatak kutoka basi smytm nalala nae adi asubuh bila kumgusa,namletea madem ata wa uwongo il akate tamaa lakn wapi?anadai hampend jamaa..siku ya kuamkia send of alitokea kwangu,siku mbil kabla ya harus nlspend nae sana2..kaolewa jina ila bdo ananftalia mbaya..ukimuliza eti hampendi jamaa na alichelewa sana kunfahamu lakn mi ndo chaguo lake..aya mambo yapo,yapo sana2
 
Hicho ni kizazi cha nyoka, Na yeyote afanyaye hivyo na alaaniwe milele.
 
Cantalisia; Si sahihi kabisa kufanya huu umalaya,lkn mbona kama imebase kwa huyo msichana tu(bi harusi)?kwani huyo bf hakujua mwenzie anaolewa na kama kweli yeye ni mwema basi baada ya kujua mwenzie kapata mme na yeye alikuwa anatumia tu angekataa kuendelea naye, na huyo bf- mtumiaji malaya tu,msiwalaumu wananwake tu kwani huo ubazazi wananfanya na wanaume.

Cantalisia; Hivi wewe kama mwanamke X-BF wako anaweza kukulazimisha utoke kwenu kwenda kulala naye? Sioni tatizo la huyo BF wake hapa bali tatizo ni kwa huyo aliamua kukubali kuolewa na mtu mwingine akiwa bado ana mapenzi mazito kwa huyo x-BF. Mbaya zaidi kesho unaenda kufunga ndoa bado tu unalubuniwa kwenda kulala na X-BF wako, wewe siyo mtoto mdogo kutojuwa hiyo tabia haikubaliki hata kwa shetani....Sasa hicho kiapo unachoenda kukiweka mbele ya Muumba wako kinakuwa na maana yoyote? Badala ya kukaa na kumwomba Mungu akujalie ndoa yenye furaha na upendo wewe unakaa ukimuwaza X-BF wako, inatia kinyaa hiyo tabia.

Ok,najua ni tabia mbaya ishu ni kwamba hata mwananume ana wajibu wa kuikataa tabia mbaya anayomwona nayo mwanamke,kwa upande wangu cwezi kufanya upupu huo coz cna uwezo wa kugawa upendo wangu kwa watu zaidi ya mmoja, na siwezi kuolewa na mtu nisiyempenda.
 
Hivi mtoa mada unauliza kabisa kama ni sawa ama si sawa kufanya tendo hilo na mtu mwingine kabla ya harusi wakati unajua kabisa ni vibaya, kama mtu hauko sure si bora usiolewe tu,kwani ndoa ni kitu gani? si angebaki tu na huyo ampendaye
 
kosa lipo kwa gel,kwani mambo yangesanuka, mpotezaji angekuwa ni yeye. ina maana wewe hata kama watu
wanajua ni wa mtu wakikutokea unawakubalia? (samahani lkn nakutania)
Nikweli hasara ingekuwa kwa binti, na nakubaliana kuwa mwenye makosa ni bint,but naamini hata huyo bf alikuwa na makosa kwann akubali kuendelea naye ile hali anajua ni mchumba wa mtu?mie siwezi kukubali jambo hilo coz pendo langu ni kwa ajili ya mtu mmoja na siwezi kuolewa na mtu nisiyempenda.
 
Back
Top Bottom