Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Habari
Mwaka 2010 huyu mwanadada alivuma na wimbo wake 'Inatosha basi' baadaye akaja na wimbo 'nafsi inauma' na mwishowe akatoa collabo na Mtoto wa Tandale baadaye akapotea.
Natamani kumsikia huyu dada akirudi kwenye gemu maana ana sauti nzuri sana na ka miss haswa.
Natamani arudi kwenye gemu nipo tayari kumsapoti huyu dada arudi nifurahie melody zake kutoka Jupiter record
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Acha ujjinga Unatamani kumsapoti mke wa mtu umeongea na mumewe?
hahahahahahahahaha hahahahahaha JF kwa ubora wake. hahahahahaahahahhaaAcha ujjinga Unatamani kumsapoti mke wa mtu umeongea na mumewe?
Anakula urojo zanzbala huo yahee nenda utamkuta anakula tende yaheeHabari
Mwaka 2010 huyu mwanadada alivuma na wimbo wake 'Inatosha basi' baadaye akaja na wimbo 'nafsi inauma' na mwishowe akatoa collabo na Mtoto wa Tandale baadaye akapotea.
Natamani kumsikia huyu dada akirudi kwenye gemu maana ana sauti nzuri sana na ka miss haswa.
Natamani arudi kwenye gemu nipo tayari kumsapoti huyu dada arudi nifurahie melody zake kutoka Jupiter record