Watafanya kama TFF kwenye issue ya Kaseja(Sory off Topic)Sasa PCCB watoe kauli nyingine kujifafanua kuwa "walimaanisha" nini...
shame, shame, shame, shame, shame.... Shame, shame, kwa rais, pm, hosea, and all termites destroying our countries
tumefikia kutetewa na sfo... I feel like dying
unafikiri wana muda huo?? dawa ya muongo ni fupi sanaSasa PCCB watoe kauli nyingine kujifafanua kuwa "walimaanisha" nini...