SGR Construction in Tanzania - UPDATES

Shukrani kwa povuu[emoji120] [emoji120]
 
Wewe ndio una wivu wa kike, nakumbuka ulisema kuwa dreamliner yetu haitakuja. Kiko wapi sasa? Kajinyonge sasa na wivu wako wa kijinga.
Hakuna mahali nimedanganya kama nilivyosema hapo juu, na kama iko ungetaja kukanusha madai yangu.
Seriously nitaiskilia LDC wivu kwa kipi hata omba omba wenu wanajua Kenya kuna hela.
 
Dream liner nasikia inacheza route za Tz ndani kwa ndani 😀😀 mnafanyanga biashara kienyeji kienyeji.
Yes, and the Aircraft is fully booked till September
Toka Dar hadi Mwanza ni 1300km,
Any other questions!
 
Last edited:
wakenya wapo kwenye denial.
they don't want to believe if this project is real happening in tanzania.
 
wakenya wapo kwenye denial.
they don't want to believe if this project is real happening in tanzania.
Wakenya hatuko kwa denial.. Tunajua at one point in time SGR Dar-Moro itamalizwa (imelipiwa so we expect itamalizwa) however Kumaliza sgr hadi Rwanda hatujui itakua ni 2024 au 2031... au labda 2040....
 
Mtawafunga Watanzania macho hadi lini? Shit is about to hit the fan. Sasa where is the economic viability ya kuchoma mafuta pili kusafirisha locally?
Uliza kama hujuwi uambiwe, that is flight test, huwezi kupokea ndege tena mpya kutoka kiwandani ukapakia abiria the next day. You do flight test, kwanza bila abiria halafu na abiria kabla ya commission to service.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…