OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Wakuu mimi nipo Bariadi mitaa ya Gamboshi huku.
Ningependa kujua kwa mlio tumia SGR by experience Dar to Moro na Moro to Dodoma ni masaa mangapi?
Na nauli ni Tsh ngapi ?
Watu wa Mwanza Bariadi Shinyanga na Musoma safari ya kwenda Dar ni mateso huwa tunafika usiku mnene
Napenda kujua ili kuona kama kuna uwezekano wa kutoka kanda ya ziwa saa12 asubuhi kisha unashukia Dom unapanda Treni unaingia Dar
Nataka nifanye tathimini.
Ahsanteni.
Ningependa kujua kwa mlio tumia SGR by experience Dar to Moro na Moro to Dodoma ni masaa mangapi?
Na nauli ni Tsh ngapi ?
Watu wa Mwanza Bariadi Shinyanga na Musoma safari ya kwenda Dar ni mateso huwa tunafika usiku mnene
Napenda kujua ili kuona kama kuna uwezekano wa kutoka kanda ya ziwa saa12 asubuhi kisha unashukia Dom unapanda Treni unaingia Dar
Nataka nifanye tathimini.
Ahsanteni.