Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
- Thread starter
- #21
Kuna Train ya muda upi na upi, samahani mkuu, mfano ya jioni ipoAfadhali kigamboni.....wahi ytapata tiketi masaa 2 kabla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Train ya muda upi na upi, samahani mkuu, mfano ya jioni ipoAfadhali kigamboni.....wahi ytapata tiketi masaa 2 kabla
Treni ya saa kumi na mbili jioni ipo pia auTreni ni usafiri wa haraka na uhakika, ila muda huu huwezi kupata nafasi ila ukienda Magufuli stand unapata gari na uhakika wa safari, ingawa utachelewa lakini utafika siku husika.
Ipo ila nafasi hamna!Treni ya saa kumi na mbili jioni ipo pia au
Kwa keshoIpo ila nafasi hamna!
Kwa kesho jioni kakaIpo ila nafasi hamna!
Panda ya saa tatu asubuhi. Fika pale saa mbili kamili hivi utapata tiketi. Jumatatu hadi jumatano haijai sana ila kuanzia alhamisi hadi jumapili ndio inabidi ukate tiketi siku kadhaa kabla.Saa tisa iyo inamaana
Kesho jioni zimebaki siti 4 tu nunua leo ukisubiri kesho asubuhi hupatiKwa kesho
Kwa kesho jioni kaka
Poa mkuuKesho jioni zimebaki siti 4 tu nunua leo ukisubiri kesho asubuhi hupatiView attachment 3130913
Sawa mkuuPanda ya saa tatu asubuhi. Fika pale saa mbili kamili hivi utapata tiketi. Jumatatu hadi jumatano haijai sana ila kuanzia alhamisi hadi jumapili ndio inabidi ukate tiketi siku kadhaa kabla.