SGR ikikamilika Bila Bandari ya Bagamoyo malori yatalazimika kupaki

Rubbish
 
Wewe ni muumini wa lazima bandari ya bagamoyo ijengwe. Kususiwa kwa bandari ya dar ni matokeo yakuchelewa mizigo. Mizigo ikiondoka mapema, ufanisi huo utavuta mizigo. Kina kimeongezwa kuruhusu meli kubwa kuleta mizigo mingi. Bandari ya bagamoyo ni ufisadi.
 
Mimi sina mkuu kama unao lete tuujadili hapa,

Mimi nimeonesha analysis yangu hali itakuwaje hapo baadae nimeishia hapo,
Na kama hii taarifa ni party ya dissertation yako, kajipange upya.
 
Kaziindelee Tanzania
 
Malori hayawezi kupaki kisa vichwa viwili vya Treni kwa sababu zifuatazo.
1.Ushindani; SGR ikiwa na bei ndogo italazimisha wafirishaji wa malori kushusha bei ya usafirishaji.
2.Ukarabati; kulingana na maisha ya kuagiza vitu nje na hatutengenezi wenyewe, gharama za ukarabati wa treni zitaleta shida na safari zitaanza kusuasua na kuchelewa.
3.Uwezo wa kufaulisha Mzigo; kufaulisha mzigo kwa Treni si rahisi hasa kama itaharibika ikiwa na mzigo.
4.Uwezekano wa Kugoma; endapo wafanyakazi wa SGR hawatapewa stahiki kwa muda wakigoma wataleta usumbufu.
5.Thamani; si kila mzigo utafaa kusafirishwa kwa kurumia SGR..
 
Umeandika vizuri ila ukweli ni kidogo sana
 
expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
 
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
CHADEMA HII NCHI NI YETU SOTE
 
Mizigo hyo yoote umetaja, umesahau kwamba SGR haipiti kwenda Zambia, na hatimaye nchi zinazopakana na Zambia hazitatumia SGR, punguza uongo
 
Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…