SGR inahujumiwa au ni uzembe tu unaotokana na watu kutochukuliwa hatua?

Ifike mahala sasa kampuni za serikali ziundwe kwa mfumo wa kuajiri competent professionals waziendeshe.

Hii SGR chini ya hawa TRC tusitegemee maajabu. Sioni akili hizo za kuwezesha hili shirika kufanya biashara na kujiendesha


Muda utasema yote.....
 
"Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa, amesema wananchi waondoe hofu kuhusu tatizo la kukatika kwa umeme katika safari za treni inayotumia umeme akisema treni hiyo ina mkondo wa umeme unaojitegemea.Hayo yalisemwa Februari 26, 2024".
 
Angekuwa Mr Misifa angeruka na watu hapo.

Sometime tunamkumbuka. RIP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…