Yes but of course construction will start in 2030
😂😂 wanapenda kuzindua sana. Less than 5% of the entire rail from Dar-Isaka, kuzindua hapa na pale. Hawa watu wametapeliwa vizuri sana na emperor.Kulaunch tena...haha.
Na ya kwanza iko 28% ambayo naishuku sana
Soma uelewe. Electric train yahitaji umeme guranteed, kando na national grid. Mambo ya blackouts, power surges na hizo nonsense zote must not involve treni na biashara.
Ethopia net exporter wa ememe are struggling with their electric rail sasa poor Tz je?
Lazima electric rail iwe na guranteed uninterrupted supply. Blackouts kila siku dar, mzigo itabaki wapi?
Kwanza kua electric nashuku pia... Na ile blackout yao kila saaKulaunch tena...haha.
Na ya kwanza iko 28% ambayo naishuku sana
Kulaunch tena...haha.
Na ya kwanza iko 28% ambayo naishuku sana
[emoji23][emoji23] wanapenda kuzindua sana. Less than 5% of the entire rail from Dar-Isaka, kuzindua hapa na pale. Hawa watu wametapeliwa vizuri sana na emperor.
Yes but of course construction will start in 2030
Kule mchina kagoma kutoa funds phase 2B huku katoa funds za feasibility study Mwanza-KampalaHawa jamaa nimegundua wanaumia sana.
Youre not done with phase 1 unalauch phase 4..stupidity....going the bagamoyo wayHii sio pinnacle kenya ni SGR dodoma-kigaliiiiiiiiiiiiiii[emoji13][emoji13]
Youre not done with phase 1 unalauch phase 4..stupidity....going the bagamoyo way
Usisahau pia Dreamliner ilikuwa ianze safari za Bombay 10th October 2018.Ni kama ile bagamoyo ilikuwa ujenzi June mbaka leoView attachment 907711
Geza Ulole karepost I think jana na kusema ipo 20% complete yani shifting goal posts.Kulaunch tena...haha.
Na ya kwanza iko 28% ambayo naishuku sana
Launch ni lini tena mkuu?Najua inakuuma sana. Lakini huna namna ya kufanya.
Acha ujinga, electric railway has got both options, kama tatizo la Burundi ni UMEME basi watanunua diesel trains kama ninyi washamba, kumbuka Tanzania tumeagoza electronic na diesels trains.Soma uelewe. Electric train yahitaji umeme guranteed, kando na national grid. Mambo ya blackouts, power surges na hizo nonsense zote must not involve treni na biashara.
Ethopia net exporter wa ememe are struggling with their electric rail sasa poor Tz je?
Lazima electric rail iwe na guranteed uninterrupted supply. Blackouts kila siku dar, mzigo itabaki wapi?
Hahahahaha, inakuuma sana, kuna kipindi cha kulima na kupanda, wakati wa kulima hakuna MTU a nayevuna, watu wanakua busy na kazi, wale wavivu na wasio na uvumilivu hutoroka kijijini na kukimbilia mjini. Wakati wa kuvuna ni kuvuna pekee hakuna kulima, sasa hivi ni kulunch pekee, kipindi cha kuzindua kikifika ni kuzindua tu.[emoji23][emoji23] wanapenda kuzindua sana. Less than 5% of the entire rail from Dar-Isaka, kuzindua hapa na pale. Hawa watu wametapeliwa vizuri sana na emperor.
kati ya hivyo vinyesi ni gani iko complete?Bro hauko serious,ukisikia tuna tunataja kinyerezi,phase 2,3,4 na hidro power unadhani ni kukula githeli zilizoungua!!!!
Hizi mambo zinaenda kwa mikakati sana,vilaza hawawesi ng'amua.
Povu la sumukl
kati ya hivyo vinyesi ni gani iko complete?
Mbona unatoa povu la sumu kijana?Povu la sumu
Reli bado haijaanza Dar na wanaongelea Kigali[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na GDP ya hio Rwanda inaongelewa inakimbizwa na Mombasa county[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazee wa kulaunch.
Ila inawauma mpaka rahaReli bado haijaanza Dar na wanaongelea Kigali[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na GDP ya hio Rwanda inaongelewa inakimbizwa na Mombasa county[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Burundi tutawawekea bandari kavu na wataipata mizigo yao kwa muda mfupi,wakati wakijipanga😂😂😂Wakati wa kuzindua projects bado hamjamaliza.
On another note, “ operationi ya kuzindua” was supposed to happen October. On the same note Burundi imekataa mambo ya electric rail ilihali wanaelewa hawana uwezo wa kutoa umeme for 80% of the country.
Isaka – Kigali Railway Construction for October 2018