SGR Isaka-Mwanza Yafikia Asilimia 44.25

Hizi barabara zenu sijui huwa wanajenga na nini zichukue mda wote huo.
Kuna masela huko mbali walikua wa3 tu
Mmoja anamwaga kokoto,
2,anasambaza kokoto
3,anamwaga lami na kukandamiza lever.
km1 wameanza nawaona wiki moja washaifuta hiyo kipande,na hapo walikua wanaenda pozi kupiga lunch na kahawa huku wanacheka tu.
Bongo hiyo kl 1 kuijenga ingechukua miaka na hela kibao na isingedumu.
 

Unaweza fikiri hivyo, lakini mwendazake pamoja na madhaifu yake, alikuwa anatumia kichwa kufikiri. Alijua at anytime, he might not be there, kwa hiyo ili ndoto yake ikamilike, lazima atakaye kuwepo asingekubali kipande cha isaka/ mwanza kibaki bila kukamilika
 
Mpango ni kuisha lini ? Kabla ya Uchaguzi au baada ya Uchaguzi..
 

..mradi hauwezi kusimamishwa kwasababu kuna upigaji mkubwa ndani yake.
 

Walipe fidia kwa wananchi,
 
Hii ni miradi ya upigaji mtupu.
Ni hadithi tupu.
Mradi gani huo unajengwa milele na bado haukamiliki?
 
mleta mada weka Picha ili Habari yako ikamilike
 
Analeta ujuaji uchwara anadhani reli ni barabara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…