SGR Kenya : Kenyans are not allowed to sit near chinese coworkers at the railways construction company

SGR Kenya : Kenyans are not allowed to sit near chinese coworkers at the railways construction company

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
In kenya, black people are not allowed to sit near chinese coworkers at the railways construction company. They are not even allowed to board same shuttles from and to work. that's what happens if u r too stupid as country to build ur own railways in 2018.

 
Put it this way.... Chinese are not allowed to sit near Kenyans.
 
Put it this way.... Chinese are not allowed to sit near Kenyans.
hahahaha mnafanyiwa ubaguzi wa kutisha na wachina ndani ya nchi yenyu.

tz upuuzi kama huo hauwezi kutokea ukaachwa tu upite hivi hivi. lazima mngesikia wachina wamechinjwa kama kuku.
 
hahahaha mnafanyiwa ubaguzi wa kutisha na wachina ndani ya nchi yenyu.

tz upuuzi kama huo hauwezi kutokea ukaachwa tu upite hivi hivi. lazima mngesikia wachina wamechinjwa kama kuku.
Wamezoea kubaguliwa hao. Wazungu ndio wanawabagua wazi wazi kabisa, tena nchini kwao hapo hapo Kenya. Mbele ya mzungu mkenya anakuwa mdogo kama piritoni na kizungu chake cha kuunga unga.
 
This is a reason I like my country Tanzania, Hivi huo ujasiri wakenya mnao kwenye maandamano pekee?
 
Wamezoea kubaguliwa hao. Wazungu ndio wanawabagua wazi wazi kabisa, tena nchini kwao hapo hapo Kenya. Mbele ya mzungu mkenya anakuwa mdogo kama piritoni na kizungu chake cha kuunga unga.
eti na kingereza chao cha nini....? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe upumbavu Wa Kenya kila mtu anaujua[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20180714_230523.jpg
 
Back
Top Bottom