Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Hapa haizungumzii production bali potentional transit goods to/fromr DRC, Burundi, Uganda and our own goods and mineral resources to/from west TZ
Wewe uchumi wako upo katika makaratasi, nenda kasaidie kijijini kwenu na ndugu zako wanashida tele. Wasomi wa Africa Maneno kibao lakini hakuna kinachofanyika, angalia Kenya wanaojisifia na wasomi, Zimbabwe ina wasomi hadi wenye degree wanafanya kazi za house keepers.Haaa haaa mawazo ya Magu ni hayo hayo toka kwenye kampeni kilichoongezeka hapo ni stiglaz tuu,hayo ni mawazo at macro level hayasuit kwenye entity ya familia huko ninayo mengine buda
Hayo mawazo ningeyaweka kwa jopo langu la washauri wa uchumi hasa kwa kuwa na mimi ni mchumi hakuna wa kuniingiza chaka ndugu.Kwa mawazo hayo hapo juu hata wewe ungepata kazi nyingine nzuri kuliko hii ya kujikimu kwa kuropoka na kusifia hatu ushuzi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eastern Congo?????????????????????????????????//DRC? Wewe Ungekuwa manager wa entity iliyopo Kinshasa na unataka ku-import anything, ungepitishia bandari ipi kati ya Benguela na Dar es Salaam?
Secondly; potential means something that is likely to happen subject to some factors being met. What if those factors change or prove unattainable e.g. due to changes in technology? Bado huo mradi utakuwa viable?
Usilete excuse za kushindwa kwenu unasingizia wasomi,hakuna nchi ya kiafrika inafuata mawazo ya kisomi usilete upuuzi wako.Kuna msomi gani kakushauri ujenge sgr au stiglaz?Wewe uchumi wako upo katika makaratasi, nenda kasaidie kijijini kwenu na ndugu zako wanashida tele. Wasomi wa Africa Maneno kibao lakini hakuna kinachofanyika, angalia Kenya wanaojisifia na wasomi, Zimbabwe ina wasomi hadi wenye degree wanafanya kazi za house keepers.
Unaikumbuka hadithi ya yule jamaa aliyetunga kitabu alichokipa jina la "How to make Money". Alipomaliza kukiandika akawa anatafuta wadhamini ili akakichapishe, kila alipofika alijibiwa kwamba, iweje yeye anawafundisha wenzake jinsi ya kutengeneza pesa, lakini yeye mwenyewe anaomba. Wewe ni mchumi wa katika makaratasi, sidhani Kama una kazi Wewe, bado unazunguka mitaani na vyeti ukitafuta kazi, kwa akili mbovu kiasi hicho, hakuna mwenye akili atakayekupa kazi. Pole sana.
Hahahahaha, wewe chizi nani akusikilize, wewe mwenyewe njaa tupu inayokusumbua eti usikilizwe, ukiona unalalamikia system za nchi sana, ujue umetupwa nje ya system, endelea kulalamika sisi tunasonga mbele. Magufuli endelea kukaza, wavivu wameshaanza kuhisi joto la jiwe. Waleteeeeeeee, HahahahahaUsilete excuse za kushindwa kwenu unasingizia wasomi,hakuna nchi ya kiafrika inafuata mawazo ya kisomi usilete upuuzi wako.Kuna msomi gani kakushauri ujenge sgr au stiglaz?
Ila kwa minajiri ya uganga njaa ndio kama hivi unajitoa ufahamu kupapaswa.Unadhani leo hii hadi nani anashauri wenzie kati ya kiongozi wa Africa na wasomi wake? Unaweza mshauri mtu kama Magu ww? Mtu kama Jk ndio ilikuwa golden opportunity thus why he dared kuanzisha mchakato wa katiba mpya kabla wanga kama nyie hamjamjia ucku kumroga kabadili mawazo
Waende mahakama gani na kufanya nini? Why bother with people who don't appreciate investors? Mfanyabiashara yeyote wa nje hatashtaki kwenye mahakama za hapa, ila ataenda kwenye Arbitration under International laws. Unadhani ni kwa nini mungu wenu ametunga sheria ili eti disputes zote ziwe handled na mahakama anazoziamuru cha kuamua?
Ukiweka mazingira magumu ya mtu kufanya biashara nchini kwako watu wanahamia nchi nyingine. It is as simple as that. Ni nyie ccm tu msiojua hilo.
Btw (and off topic but based on ridiculous laws this government is putting in place); unakumbuka yule mkuu wa mkoa wa Songwe aliwaambia wafanyabiashara wa Tunduma arrogantly "anaeona hawezi kufanya biashara kwa kufuata masharti ya serikali aache"? Unajua walichofanya hao wafanyabiashara? They just relocated across the border Nakonde. Sasa hivi Watanzania Tunduma wananunua sukari, sabuni etc Zambia na kodi inalipwa huko pia.
Two months down the line same mkuu wa mkoa anasemaje? Njooni muendelee na biashara zenu, na kama kuna matatizo yanazungumzika.
Sasa kama hao machinga wa Tunduma hawakuenda mahakamani - but voted with their feet and money - do you honestly believe Fastjet would go that way? Those guys are NOT FOOLS. Ungejua Fastjet inamilikiwa na nani na ipo kwenye aviation industry kwa muda gani you wouldn't have the same opinions. But only if you use your head.
Sio kosa lako wewe hadi kufanya haya ni vile unafanya kwa msukumo wa tumbo huko nje huna namna ya kusurvive zaidi ya kubebwa kwa ujira wa kujikimuHahahahaha, wewe chizi nani akusikilize, wewe mwenyewe njaa tupu inayokusumbua eti usikilizwe, ukiona unalalamikia system za nchi sana, ujue umetupwa nje ya system, endelea kulalamika sisi tunasonga mbele. Magufuli endelea kukaza, wavivu wameshaanza kuhisi joto la jiwe. Waleteeeeeeee, Hahahahaha
Wewe hata kula hujala, tangu lini mtu mwenye njaa awe na akili, tafuta chakula kwanzaSio kosa lako wewe hadi kufanya haya ni vile unafanya kwa msukumo wa tumbo huko nje huna namna ya kusurvive zaidi ya kubebwa kwa ujira wa kujikimu
Watu dizaini yako mko wengi sana ko enjoy yr foolishness,huwezi kuwa na free mind kulingana na hicho kibarua
Tanzania haijakopa??hahhahaha vyanzo vyako vya taarifa vinakudanganyaHahahahaha, this is insane thinking, Kenya imports more than it exports, second, Tanzania haijakopa kwahiyo haina deni lolote la kulipa, hivyo tutahitaji tu pesa ya kugharamia uendeshaji na *repair*, third, electric trains running costs are 70% cheaper than diesel ones.
Weka ushahidi kuonyesha tumekopa kujenga SGRTanzania haijakopa??hahhahaha vyanzo vyako vya taarifa vinakudanganya
Hajui hata maana ya feasibility study. Utapoteza muda wako bure na huyo and his likes. They are sold not to think but sing praises to whatever their god says.
Benki ya Standard Chartered Group imekubali kuipatia Tanzania mkopo nafuu wa dola za Marekani bilioni 1.46 (Sh trilioni 3.3) zitakazotumika kujenga kipande cha reli ya kisasa (SGR) kati ya Morogoro na Dodoma.Weka ushahidi kuonyesha tumekopa kujenga SGR
Taarifa zipo hiyo ni LOT 2,hizi habari tunajenga reli kwa pesa zetu ni propaganda ila ukweli tumekopa,kukubali au kukataa ni juu yako binafsiWeka ushahidi kuonyesha tumekopa kujenga SGR
Eastern Congo?????????????????????????????????//
Is the feasibility study can be available in a public domain?
Feasibility ilifanywa kitambo sana na shuguli ikafungwa hata website iliokuwa imefunguliwa maalum kuonyesha feasibility na kutafuta wafadhili imefungwa (www.dikkmrail.com)Feasibility study sio siri. Na hufanywa si chini ya mwaka - kwa mradi kama wa SGR.
Bado nasubiri mtu aniambie serikali hii ilifanya feasibility study ya SGR lini?
Nani aliyesema Terminal 3 ni pesa ya ndani?, acha kujiliwaza. Terminal three ni mradi ulioanzishwa na Kikwete, yeye alikua anakopa kila kitu, alikua kiongozi dhahifu sana kama Uhuru Kenyatta. Miradi tunayotumia pesa yetu ni 1) SGR, 2) Rufiji hydroelectricity 3)Super high way from Dar to Kibaha, weka records zako vizuriheheeee!!watu wa pesa za ndani mpo...yani hawa jamaa ni tabu walai....joto la jiwe, ummayed kujeni mjionee hku..kumbe hta jnia terminal 3 mmekopa....bwahahaaaa...nomaaaaa...mfiaukweli ndugu yangu leo nimeamini km yale madai yako yote ni ya ukwel...yani unawakabali ccm pekeako kutoka mwanzo wa thread mpka sasa...kweli ukweli haupingiki...
https://www.facebook.com/