SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.

SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.

Unaota babu uzuri umetaja hiyo miradi iliyofeli,kwa taarifa yako hiyo miradi haikuwa economically viable the same na hii sgr
Tafiti za kiuchumi ndio zitatoa majibu sio hisia zako
 
Huna deni la kulipa wakati tumepoteza kodi za wananchi,acha ujinga mkuu matumizi mabaya ya ofisi ndio hayo mtaulizwa nyie sifieni tuu.Kabla hujafanya mradi wa kiuchumi lazima kuwe na justification ya kiuchumi sio mambo ya kuhamia Dodoma hayo ndugu
Wewe akili yako ni finyu sana, hii reli tunajenga ili kusaidia kukuza biashara, kama kutakua na usafiri wa uhakika wa reli, itakua ni rahisi kwa wafanyabiashara kwenda kuwekeza na kufungua viwanda vya kuchakata mazao ya wakulima.

Wewe kwa upumbavu wako unafikiria faida zaidi kuliko uchumi mzima wa nchi. Mikoani kukiwa na shughuli za MIGODI na viwanda, uchumi utashuka kwa wananchi moja kwa moja, sio lazima kila mwananchi apande hiyo train. Kwasababu hatujakopa popote, serikali inaweza kushusha nauli gharama za kufanya biashara ziwe chini, jambo ambalo Kenya hawawezi kushusha kutokana na mkopo wanaolipa.
 
Aisee umefaulu kupindisha mjadala. Ukisoma kichwa cha habari na mjadala huku ndani ni tofauti.
Mada ni SGR Kenya, tafadhali tujielekeze huko.

Nduguyo ndie aliepindisha; nimemjibu tu alichouliza.
 
Don't move the goal posts. Ongelea context ile ile niliyoitumia based on your fellow worshiper's misrepresentation. By the way same thing ilishaletwa hapa.

Hahahahaha, hii evidence yako inaonyesha upande mmoja wa ATCL, mbona hiyo ya fastjet haipo?, acha porojo wewe, weka hiyo ya fastjet 70,000 tuone. Wewe hata ndege hujapanda, unapiga kelele tu. Hebu weka nauli ya Precision Airt kutoka Dar- Mbaya uone.
 
Wewe akili yako ni finyu sana, hii reli tunajenga ili kusaidia kukuza biashara, kama kutakua na usafiri wa uhakika wa reli, itakua ni rahisi kwa wafanyabiashara kwenda kuwekeza na kufungua viwanda vya kuchakata mazao ya wakulima.

Wewe kwa upumbavu wako unafikiria faida zaidi kuliko uchumi mzima wa nchi. Mikoani kukiwa na shughuli za MIGODI na viwanda, uchumi utashuka kwa wananchi moja kwa moja, sio lazima kila mwananchi apande hiyo train. Kwasababu hatujakopa popote, serikali inaweza kushusha nauli gharama za kufanya biashara ziwe chini, jambo ambalo Kenya hawawezi kushusha kutokana na mkopo wanaolipa.
Taratibu wimbo unaanza kubadilika hata kabla ya sgr kukamilika,wewe ni mjinga ndio maana unasema hatujakopa popote hujui uchumi unadhani ni sawa na kutafuta pesa kwa jasho ukagonga afu ukasema nilitafuta mwenyewe,hizo ni kodi za sie wananchi
Ndio maana kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa rational choice theory,decisions should rely on rational preferences given marginal cost and benefits ili kupata marginal utility bearing in mind kwamba resources are scarce sio unakurupuka unaleta hasara eti hujakopa katoe ujinga huko sio wishful thinking za ki utopian hapa
 
Hahahahaha, hii evidence yako inaonyesha upande mmoja wa ATCL, mbona hiyo ya fastjet haipo?, acha porojo wewe, weka hiyo ya fastjet 70,000 tuone. Wewe hata ndege hujapanda, unapiga kelele tu. Hebu weka nauli ya Precision Airt kutoka Dar- Mbaya uone.

Kuwa mtetezi wa ccm hii kunahitaji mtu asiejua reality just as you have demonstrated right here. Akili yako inakutuma kuwa unaweza leo hii kufanya booking ya 2018. No wonder unaamini kuwa Fastjet walinyimwa kuingiza ndege 2017 kutokana na wao kuwa banned 2018.

Watu kama ninyi ndio mnasababisha Watanzania wote tuonekane kuwa ni wajinga.
 
Mwezako akinyolewa wewe tia maji
Huyo jamaa hapo juu ni kiazi anachojua ni kubwatuka tuu,eti walishauri sasa hapa kwetu walioshauri wamesikilizwa? Hana ushahidi wa kiuchumi kwamba sgr itakuwa na faida anatukana wakunga mke wake hajazaa sasa Sijua unamuelewaje.Huo msemo uliomkumbusha ni muhimu sana
 
Taratibu wimbo unaanza kubadilika hata kabla ya sgr kukamilika,wewe ni mjinga ndio maana unasema hatujakopa popote hujui uchumi unadhani ni sawa na kutafuta pesa kwa jasho ukagonga afu ukasema nilitafuta mwenyewe,hizo ni kodi za sie wananchi
Ndio maana kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa rational choice theory,decisions should rely on rational preferences given marginal cost and benefits ili kupata marginal utility bearing in mind kwamba resources are scarce sio unakurupuka unaleta hasara eti hujakopa katoe ujinga huko sio wishful thinking za ki utopian hapa
Ninarudia, wewe ni mpumbavu sana na pupa kabisa wewe. Serikali jukumu lake kikatiba ni kukusanya kodi za wananchi na kuwekeza katika huduma za wananchi ikiwemo miundombinu ya barabara, reli, meli na Angani. Kutengeneza faida sio lengo na kipaumbele cha serikali yoyote ile. Jukumu la serikali ni kuweka mazingira wezeshi ya kibiashara ili watu binafsi wafanye biashara, mazingira hayo wezeshi ni:
1)Barabara zinazopitika kipindi chote
2)Reli yenye kusafirishwa mizigo mizito kwa gharama nafuu
3) UMEME wa uhakika kwa gharama nafuu
4) Mtandao mzuri wa usafiri wa Anga, ndani na nje ya nchi
5) Sera na mazingira rafiki kwa biashara
6)Amani na usalama.

Sasa wewe umebaki kupiga domo hata hujui ubalozungumza. SGR itashusha sana gharama za usafirishaji kutokana na kwamba
1) Tunajenga kwa pesa yetu, hivyo hatutolazimika kurudisha mkopo pamoja na riba.
2) Reli ya umeme gharama za uendeshaji ziko chini sana ukilinganisha na diesel, serikali itaweza kutoza nauli ndogo kwa mizigo na abiria, hivyo kuongeza chachu ya kufanya biashara.
3) Serikali haitoagiza diesel kwa ajili ya hizi train, hivyo kusave pesa ya kigeni.
 
Kuwa mtetezi wa ccm hii kunahitaji mtu asiejua reality just as you have demonstrated right here. Akili yako inakutuma kuwa unaweza leo hii kufanya booking ya 2018. No wonder unaamini kuwa Fastjet walinyimwa kuingiza ndege 2017 kutokana na wao kuwa banned 2018.

Watu kama ninyi ndio mnasababisha Watanzania wote tuonekane kuwa ni wajinga.
Wewe ni mjinga nambari one hapa Tanzania, sasa utazungumzaje kitu ambacho hakina ushahidi?. Angekua na akili usingeweza kutumia ushahidi wa upande mmoja, sidhani kama hata form six umefika wewe, hivi unajua maana ya "Compare and Contrast?", unapolinganisha vitu viwili lazima ulete data za pande mbili, ukikosa kuleta moja, huna haki ya kuitumia hiyo ya upande mmoja. Wewe shughulikia DNA ya mwanao kwanza, huku wewe bado ni mchanga Sana.
 
Ninarudia, wewe ni mpumbavu sana na pupa kabisa wewe. Serikali jukumu lake kikatiba ni kukusanya kodi za wananchi na kuwekeza katika huduma za wananchi ikiwemo miundombinu ya barabara, reli, meli na Angani. Kutengeneza faida sio lengo na kipaumbele cha serikali yoyote ile. Jukumu la serikali ni kuweka mazingira wezeshi ya kibiashara ili watu binafsi wafanye biashara, mazingira hayo wezeshi ni:
1)Barabara zinazopitika kipindi chote
2)Reli yenye kusafirishwa mizigo mizito kwa gharama nafuu
3) UMEME wa uhakika kwa gharama nafuu
4) Mtandao mzuri wa usafiri wa Anga, ndani na nje ya nchi
5) Sera na mazingira rafiki kwa biashara
6)Amani na usalama.

Sasa wewe umebaki kupiga domo hata hujui ubalozungumza. SGR itashusha sana gharama za usafirishaji kutokana na kwamba
1) Tunajenga kwa pesa yetu, hivyo hatutolazimika kurudisha mkopo pamoja na riba.
2) Reli ya umeme gharama za uendeshaji ziko chini sana ukilinganisha na diesel, serikali itaweza kutoza nauli ndogo kwa mizigo na abiria, hivyo kuongeza chachu ya kufanya biashara.
3) Serikali haitoagiza diesel kwa ajili ya hizi train, hivyo kusave pesa ya kigeni.
Unaandika essay wakati hujui chochote,unadhani kama jukumu ni kujenga miundombinu ni kujijengea tu unapojisikia kwa sababu ni miundombinu?
Hujui hujui hatua yoyote ya kujenga ni public investment hivyo lazima huo uwekezaji uonyeshe utakavyorejesha hiyo pesa?
Ukikariri hivyo unakuwa kubwa jinga,si ajabu miaka zaidi ya 50 hakuna cha maana mnachofanya zaidi ya kuitumbukiza nchi shimoni na wizi,unatopoka tu kwa vile una domo kubwa
 
Unaandika essay wakati hujui chochote,unadhani kama jukumu ni kujenga miundombinu ni kujijengea tu unapojisikia kwa sababu ni miundombinu?
Hujui hujui hatua yoyote ya kujenga ni public investment hivyo lazima huo uwekezaji uonyeshe utakavyorejesha hiyo pesa?
Ukikariri hivyo unakuwa kubwa jinga,si ajabu miaka zaidi ya 50 hakuna cha maana mnachofanya zaidi ya kuitumbukiza nchi shimoni na wizi,unatopoka tu kwa vile una domo kubwa
Huna akili wewe, peleka ujinga wako huko. Wewe sema ili serikali ijenge reli inapaswa kuputia hatua zipi kikatiba?, Ibara ya ngapi ya katiba ya nchi iliyovunjwa?.
 
Wewe ni mjinga nambari one hapa Tanzania, sasa utazungumzaje kitu ambacho hakina ushahidi?. Angekua na akili usingeweza kutumia ushahidi wa upande mmoja, sidhani kama hata form six umefika wewe, hivi unajua maana ya "Compare and Contrast?", unapolinganisha vitu viwili lazima ulete data za pande mbili, ukikosa kuleta moja, huna haki ya kuitumia hiyo ya upande mmoja. Wewe shughulikia DNA ya mwanao kwanza, huku wewe bado ni mchanga Sana.

Back to my earlier observation. Asie na hoja huishia kutukana. Enough said.
 
Huna akili wewe, peleka ujinga wako huko. Wewe sema ili serikali ijenge reli inapaswa kuputia hatua zipi kikatiba?, Ibara ya ngapi ya katiba ya nchi iliyovunjwa?.
Weka economic feasibility study ya reli hapa,stiglaz weka tuchambue sio unaropoka tu kama unashikwa matako
 
Ninarudia tena, kama huna ushahidi, funga mdomo wake, rudi kule kwenye "forums" za udaku, thamani yako haitoshi kufanya mdahalo na "big brains".

Nimekumbushwa Proverbs 26:4 na an old adage "ne respondeas stulto gloria".
From now, I will remember these two when it concerns you.
 
Weka economic feasibility study ya reli hapa,stiglaz weka tuchambue sio unaropoka tu kama unashikwa matako
Nchi inaongozwa kwa katiba, acha upumbavu wako hapa, rais aliapa kuilinda katiba ya nchi, hakuapa kulinda feasibility study, mpumbavu mkubwa wewe.

Feasibility study ni public document, na unayo haki kama raia wa nchi hii kuona, japo wewe ni miongoni mwa raia wajinga.

Hakuna matakwa ya sheria yanayolazimisha kwamba "all public documents" lazima ziwekwe mitandaoni, nenda sehemu husika utapewa na utaisoma. Punguza ujinga kidogo.
 
Nimekumbushwa Proverbs 26:4 na an old adage "ne respondeas stulto gloria".
From now, I will remember these two when it concerns you.
Endelea kukumbuka pia kwamba, ukizungumza kitu chochote ni bora uwe na ushahidi, " It is old a stupid person who speaks without evidences ".
 
Weka economic feasibility study ya reli hapa,stiglaz weka tuchambue sio unaropoka tu kama unashikwa matako

Hajui hata maana ya feasibility study. Utapoteza muda wako bure na huyo and his likes. They are sold not to think but sing praises to whatever their god says.
 
Kuwa mtetezi wa ccm hii kunahitaji mtu asiejua reality just as you have demonstrated right here. Akili yako inakutuma kuwa unaweza leo hii kufanya booking ya 2018. No wonder unaamini kuwa Fastjet walinyimwa kuingiza ndege 2017 kutokana na wao kuwa banned 2018.

Watu kama ninyi ndio mnasababisha Watanzania wote tuonekane kuwa ni wajinga.
Tumekupatia sababu za anguko la fastjet hizi hapa👇👇👇
Shida za fastjet zipo kwa business model yao mbovu(Nauli za chini, mikopo kibao) na zilianza kitambo 2016 hata kabla waagize ndege zingine 2017..
Unapinga ukweli huu ama lazima tuu upinge sababu ni kawaida yenu?
 
Back
Top Bottom