Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 2,962
- 7,856
Umeongela nauli ya kwenda KIA inazid laki mbili..nenda webiste ya ATC nauli haijafika laki mbili....Bias yangu ni ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongela nauli ya kwenda KIA inazid laki mbili..nenda webiste ya ATC nauli haijafika laki mbili....Bias yangu ni ipi?
It is even more scary to Tanzania. Kumbuka production ya Kenya ni more than thrice ya Tanzania which in turn means wana mizigo mingi zaidi yetu. So if that is the case with their SGR, what will happen to ours?
Umeongela nauli ya kwenda KIA inazid laki mbili..nenda webiste ya ATC nauli haijafika laki mbili....
Wakoloni waliweza mbona?? Hizo number sio za kweli...
Umewekewa screenshot hapo kuonyeshwa ushahidi, wewe nilipokuomba uweke screenshot ulishindwa. Tafadhali sana, kama unataka" constructive na progressive discussion " lazima utumie " direct evidences" hapana kutumia Maneno matupu.Kama hiyo ni bias, unaongeleaje 115,000 niliyoitaja kwenye post hiyo hiyo? Jitahidi kulinganisha the likes including context. Ulitilia maanani "hoja" iliyosababisha nikatoa hayo maoni?
Umewekewa screenshot hapo kuonyeshwa ushahidi, wewe nilipokuomba uweke screenshot ulishindwa. Tafadhali sana, kama unataka" constructive na progressive discussion " lazima utumie " direct evidences" hapana kutumia Maneno matupu.
Wewe ulisema kipindi cha Fastjet nauli kwenda KIA ilikua chini ya laki mbili, lakini sasa hivi tickets zimepanda sana. Jamaa amekuwekea ushahidi kukuonyesha kwamba ticket hazijapanda, sasa wewe ulitolea wapi hiyo ya tickets kupanda sana?
Umewekewa screenshot hapo kuonyeshwa ushahidi, wewe nilipokuomba uweke screenshot ulishindwa. Tafadhali sana, kama unataka" constructive na progressive discussion " lazima utumie " direct evidences" hapana kutumia Maneno matupu.
Wewe ulisema kipindi cha Fastjet nauli kwenda KIA ilikua chini ya laki mbili, lakini sasa hivi tickets zimepanda sana. Jamaa amekuwekea ushahidi kukuonyesha kwamba ticket hazijapanda, sasa wewe ulitolea wapi hiyo ya tickets kupanda sana?
Wewe unamatatizo ya akili. Elewa haya vizuriDon't move the goal posts. Ongelea context ile ile niliyoitumia based on your fellow worshiper's misrepresentation. By the way same thing ilishaletwa hapa.
Tabu au nafuu: Mbeya - Dar Fastjet nauli ilikuwa ni Tsh 70,000, Air Tanzania kwa sasa ni Tsh 183 700
Habari zenu wakuu, Nimeona nifikishe hili kwenu maana kwa hali hii ndege wengi watazionaga tu kwenye tv screen. Enzi hizo za fastjet nakumbuka nilikuwa nikikata tiketi mwezi moja au zaidi kabla ya safari na nilikuwa nattozwa elf 70 kutoka Mbeya hadi Dar Kwa sasa hali ni tofauti sana kwasababu...www.jamiiforums.com
Wewe unamatatizo ya akili. Elewa haya vizuri
1) Anguko la fastjet halina uhusiano na sera za serikali.Wao wenyewe walijitekenya kwa kuweka nauli za chini huku wakiwa na mikopo mikubwa na ndege zao zote ni za kukodi 👇👇
![]()
The rise and fall of Fastjet Tanzania
It looks like the end is nigh for low-budget airline Fastjet Tanzania.www.thecitizen.co.tz
2) Hata kama ATCL wadai nauli kubwa( Bado hujaleta ushahidi) Soko ni huru na ungetarajia mwenye bei kubwa (Atcl) akose abiria
3)Usafiri wa ndege ni muhimu kwa mawasiliano na biashara ndani ya nchi.Kamwe hauwezi wachiwa private sector ambayo hauna uhakika wanaweza endesha bila matatizo ya cancellations maana private sector na ukanjanja wao wanaweza kataa kwenda route fulani sababu haileti faida.
Mfano: Serikali ingeamua kuwachia ujenzi wa barabara na usambazaji wa umeme mashirika binafsi, Kunauwezekano vijiji vingi ambavyo wananchi hawana uwezo mkubwa wangeishi gizani na bila barabara.
Elewa hoja sio kuleta viojaMwenye akili unaamini kunyimwa leseni na kibali cha kuingiza Embraer serikali haihusiki! Good for you. Kama hizo ndizo akili give me foolery anyday.
Unawezaje ingiza ndege nchini na bado upo kwa bann? Hauja rekebisha matatizo yaliyo kufanya uwekwe ban tena unataka kuleta ndege? Ama unataka sheria inayo tumika kudhibiti ATCL iwe tofauti na inayo tumika kwa fastjet?Mwenye akili unaamini kunyimwa leseni na kibali cha kuingiza Embraer serikali haihusiki! Good for you. Kama hizo ndizo akili give me foolery anyday.
Mbona ndege iliachiliwa lakiniAs I expected, huwezi kuelewa ujinga uliopo kwenye hizo kauli nilizozitolea mfano. Ngoja nikufafanulie:
1. Ethiopia hawawezi kutumia bandari ya Dar maana sio feasible economically.
2. Zuma asingeweza ku-influence BRICS kutoa mkopo simply kwa kuwa kuna taratibu ambazo ni independent of any head of state. Ni ujinga ule ule alioufanya kwa kutuambia "nimemwandikia Waziri Mkuu wa Canada ili aamuru ndege iachiliwe".
My 16 years old son would have handled the two better.
Elewa hoja sio kuleta vioja
TAAC wanatumia sheria moja kwa kila shirika linalotaka kuingiza ndege nchini. Hata ATCL walipigwa ban miaka ya nyuma. Usafiri wa ndege = safety first kote nduniani.
Kwa mujibu wa taarifa hii umeelewa kwanini fastjet ilianguka, masingizio ya sera za serikali ni siasa zenu butu
![]()
The rise and fall of Fastjet Tanzania
It looks like the end is nigh for low-budget airline Fastjet Tanzania.www.thecitizen.co.tz
Mbona ndege iliachiliwa lakini
Unawezaje ingiza ndege nchini na bado upo kwa bann? Hauja rekebisha matatizo yaliyo kufanya uwekwe ban tena unataka kuleta ndege? Ama unataka sheria inayo tumika kudhibiti ATCL iwe tofauti na inayo tumika kwa fastjet?
Wewe kichwa umejaza propaganda tupu
atcnews.org
Tunaomba hiyo evidence ya malipo, mkuu mbona unaandika vitu vya uongo na ukiombwa evidence hutoi evidence, why are you lying for what purpose? UKIWA mtawale?Baada ya kulipa. So, what is your point?
Mkuu jikite kwa hojaLet people be the judge here. Waziri Kamwelwe alikuwa na maana gani alipotutangazia hadharani "Fastjet walitu-beep na tukawapigia"? Embraer zina safety issues gani?
Btw: Post yako #243 umeandika hivi: "...3)Usafiri wa ndege ni muhimu kwa mawasiliano na biashara ndani ya nchi.Kamwe hauwezi wachiwa private sector ambayo hauna uhakika wanaweza endesha bila matatizo ya cancellations maana private sector na ukanjanja wao wanaweza kataa kwenda route fulani sababu haileti faida."
Mtu yeyote aliewahi kufanya biashara atakwambia lazima angalau urudishe gharama kwenye bidhaa au huduma unayotoa, otherwise lazima biashara ifilisike. Wewe hiyo unaiita "ukanjanja". BA, KLM, Air France, American Airlines to mention just a few examples ni private owned na zinafanya vizuri kuliko ATCL inavyoweza kuota achilia mbali kufanya; unadhani serikali za huko zote zinaendeshwa na "makanjanja" na Magufuli ni smart kuliko wao? A loss making entity shouldn't be supported by tax-payers unless it deals in public goods.
Tukiwaambia ATCL inakula tu pesa za walipa kodi NA HAITAKAA IPATE FAIDA HATA SIKU MOJA based on the current modus operandi mnabisha. Na ni same thing kwenye SGR and practically everything this incompetent government does.
Thank you very much for stating that here; it is priceless.
Elewa kwamba matatizo na fastjet kabla wapewe ban yalijitokeza zamani..Wakaambiwa warekebishe siku nyingi bila majibu. Ban sio tukio la siku moja mkuu, Hata hizi ndege za 737 Max 8 matatizo yalijitokeza miaka karibu 2 iliyo pita, boeing wakaambiwa warekebishe wakadinda, ndege ya kwanza ikaanguka bado wanatia masikio pamba..ndege ya pili ikaanguka bado wanasema ndege ipo sawa na haihitaji marekebisho..Hatimaye ndunia nzima ika waban wakaanza kukiri makosa yao kinyemelea nyemelea.Waliomba kuingiza ndege 2017 na hadi wananyimwa leseni walishasubiri more than 10 months kuruhusiwa kubadilisha ndege kutoka Airbus 320 kuwa Embraer 190. Hiyo reference yako ni ya 2018.
Mwenye akili usie na propaganda unaamini 2018 ilitangulia na 2017 inafuatia? Probably you believe so.
Soma hapa:
![]()
Fastjet commits to future all Embraer 190 fleet
FASTJET’S FINANCIAL REPORT CONFIRMS TRANSITION FROM AIRBUS TO EMBRAER (Posted 06th June 2017) The planned transition from an erstwhile all Airbus A319 fleet to an all Embraer E190/145 fleet a…atcnews.org
Basi unavyoongea utadhani hizo nchi zina volume kubwa ya mzigo kuweza kufanya return to investmentsTZ SGR will be cheaper to move cargo to Uganda compared from Mombasa. Electric train ya Tz Sgr pulls more cargo per trip at cheaper cost and faster speed only 7 hours to mwanza from Dar Es salaam. From mwanza goods are loaded into cargo ships destined for port bell in Uganda remember economies of scale in mode of transport. It is cheaper to send goods by ship compared to trucks and rail. Reli ya tz haina mikopo ya riba kubwa hence break even yake will be immediate. A huge Isaka dry port will coordinate cargo from Rwanda Burundi Uganda Congo and South Sudan including Zambia and Tanzanian mineral ores in the gold belt of lake Victoria to Dar port. Hapa tunaongelea availability ya mizigo to and fro Dar port. Unlike Kenya sgr imeishia Naivasha then you need to do move cargo to a slower MTR to Kampala it involves time and cost rendering Kenyan sgr not profitable in the long run. South Sudan will prefer collecting their goods from port bell by rail and trucks it will be cheaper for them and so is Rwanda and the rest of great lakes countries from Isaka dry port.
Mwenye akili unaamini kunyimwa leseni na kibali cha kuingiza Embraer serikali haihusiki! Good for you. Kama hizo ndizo akili give me foolery anyday.
Huna deni la kulipa wakati tumepoteza kodi za wananchi,acha ujinga mkuu matumizi mabaya ya ofisi ndio hayo mtaulizwa nyie sifieni tuu.Kabla hujafanya mradi wa kiuchumi lazima kuwe na justification ya kiuchumi sio mambo ya kuhamia Dodoma hayo nduguYeye anakubali kwamba SGR yenu ni 'white elephant ", anachojaribu kutushawishi ni kwamba hata yetu itakua hivyo. Ninyi wakenya hata kama yetu itakua white elephant" hatuna deni la kulipa, Kwahiyo msijiliwaze. Hii thread itawasaidia kujitathmini mnapokosea.