Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Yaani huu mjadala baada ya kujenga hoja za maana mnaingiza siasa, Sasa nasema mm 2015 nilimpa kura magufuli ila now naomba malaika waje wamchukue magufuli waturudishie mengi.
Hapana, unakosea sana. Ukweli ni kwamba, Kenya kwa sasa production yao ya viwandani ipo chini sana, wewe uliposema Kenya's production ni thrice ya Tanzania, ulipaswa uweke ushahidi, hilo jambo sio kweli ndio sababu amekuuliza.Kuna haja gani kujibu swali ambalo linadhihirisha mtu hajui hata anachokiuliza? Ukimjibu baada ya kurekebisha swali lake jibu lake atalielewa? Some concepts can always be understood after investing a considerable time in education.
Lazima kuwe na balance between private sector na public sector..Sasa hivi private sector has suffocated the country to a level which its the "Boss" of the economy not a genuine development partner.
Kwa mujibu wa WB
97% employment is by private sector
3/4 of investment is by private sector
If you can't feed yourself what else can we say about you, considering life in itself depends on it?You just proved your myopic thinking. My "more than thrice" production was meant to be considered in production by country in general (including services). Unajua balance sheet size ya Kenya? How do you compare that with ours?
Hapana, unakosea sana. Ukweli ni kwamba, Kenya kwa sasa production yao ya viwandani ipo chini sana, wewe uliposema Kenya's production ni thrice ya Tanzania, ulipaswa uweke ushahidi, hilo jambo sio kweli ndio sababu amekuuliza.
hapo ndio ulipokosea.Ndo maana ni lazima Raisi Magufuli aendelee hadi ~ 2035 kama kweli tunataka hii miradi isife kama inavyokufa Kenya vinginevyo akiondoka tu, kwishney!
If you can't feed yourself what else can we say about you, considering life in itself depends on it?
Private sector is already dominant..But you need to understand that their objective is only profit..Look for example at fastjet vs Atcl..bei imeshuka ya kupanda ndege which is a good thing for the common man.Thank you very much. Which means now Magufuli anachokifanya ni kuua 97% of employment na 75% of investment. What then will happen to the economy of the country?
Wewe unashida ya kukariri hoja bila kuelewa. Soko la gari mpya kenya ni 5%. Na 3/4 ya hiyo soko ni idara za serikali..Ushahidi gani unaouhitaji? Last month Macron alienda Kenya na waka-sign kujenga kiwanda cha magari ya Peugeot Kenya, unadhani wangefikia uamuzi huo kama kusingekuwa na soko Kenya? Kuna International companies ngapi zenye presence Tanzania? Kenya zipo ngapi?
Let's face it and accept the fact that we have a long way to go kuwafikia Kenya hapo walipo. Hii ya kujidanganya kuwa tunafanya vizuri na kujisifia ujinga ni kujimaliza wenyewe.
Tanzania is a mining country! U can't compare with Kenya! The nickel in Kabanga and Burundi needs a rail to be transported!It is even more scary to Tanzania. Kumbuka production ya Kenya ni more than thrice ya Tanzania which in turn means wana mizigo mingi zaidi yetu. So if that is the case with their SGR, what will happen to ours?
Where do you get those assumptions? On what basis? And how does 40% turn into 50%?
Na uliandika kuwa WFP wamehamishia route yao Dar to Mwanza to South Sudan kwa kuwa "reli imeboreshwa" and by implication ni cheaper kuliko route ya Mombasa. How is that possible? Leo hii route ya Dar - Kampala haina train ya umeme, so how did you work out to arrive at your ridiculous conclusions?
Private sector is already dominant..But you need to understand that their objective is only profit..Look for example at fastjet vs Atcl..bei imeshuka ya kupanda ndege which is a good thing for the common man.
Private sector is just crying loud because they will now not enjoy unchecked profiteering at the expense of the common man
Wacha kudanganya kipindi cha Rooselvelt kulikuwa hamna term limit in the US!Ndiyo, hiyo ni kama dharura na Dunia nzima hufanya hivyo, hata USA Raisi Roosevelt FDR aliongoza miaka 12 badala ya 8 na ndiye aliyeanzisha ,,the new deal”, hivyo kwa kuwa Raisi Magufuli ndiye aliyeanzisha hii miradi basi ni lazima aendelee hadi ikamilike na kuiendesha bila ya hivyo akiondoka na miradi yote kwishney!
The very wording of your question suggests naivety.
Wewe ni miongoni mwa watu wasio na akili, wewe na wenzio mnaoshabikiaNdo maana ni lazima Raisi Magufuli aendelee hadi ~ 2035 kama kweli tunataka hii miradi isife kama inavyokufa Kenya vinginevyo akiondoka tu, kwishney!
Wewe ni miongoni mwa watu wasio na akili, wewe na wenzio mnaoshabikia
usoshalisti wa Magu, hivi unadhani miradi hiyo ya kijamaa italeta faida? Hifadhi haya maneno utaniambia...Katika miradi ya Magu ambao namuunga mkono ni Stiglers godge tu ila ndege, Sgr ni hasara tu
Kaka weka ushahidi kuonyesha kwamba production ya Kenya ni thrice ya Tanzania, sio kutumia mikataba. Rwanda inazalisha gari za Peugeot hiyo haina maana kwamba production ya Rwanda ni thrice. Hivi kweli katika nchi ambayo basic needs kama maji safi na salama, chakula, ajira, nyumba na Afya ni shida, eti unafurahia kuanzishwa kiwanda cha MAGARI, really?Ushahidi gani unaouhitaji? Last month Macron alienda Kenya na waka-sign kujenga kiwanda cha magari ya Peugeot Kenya, unadhani wangefikia uamuzi huo kama kusingekuwa na soko Kenya? Kuna International companies ngapi zenye presence Tanzania? Kenya zipo ngapi?
Let's face it and accept the fact that we have a long way to go kuwafikia Kenya hapo walipo. Hii ya kujidanganya kuwa tunafanya vizuri na kujisifia ujinga ni kujimaliza wenyewe.
Kaka jaribu kutafuta habari ili uwe "informed", KaBlam ya kuchangia. WFP walikua wanatumia barabara kusafirisha mizigo toka Mombasa kwenda Uganda, reli ya zamani ya Kenya haifanyi kazi, na hawawezi kutumia SGR ya Kenya kwasababu haijafika Uganda. Tulipofufua hii yetu ya zamani na kuwa na ufanisi, ndio sababu imekua cheap kuliko kutumia barabara.
Kuhusu hayo mahesabu ya kwamba electric trains ni 30-40% cheaper kuliko diesel, hayo ni mambo ya kitaalamu, unaweza kutumia Google ukaelewa wanefikaje huko.
Kenya unategemea sana food donation kulisha raia wao wanaokufa kwa njaa.Your failure to answer my questions speaks volumes in itself.
Who feeds Kenya by the way? Does Japan produce enough food to meet its internal demand? Unajua concept ya comparative advantage?
It is even more scary to Tanzania. Kumbuka production ya Kenya ni more than thrice ya Tanzania which in turn means wana mizigo mingi zaidi yetu. So if that is the case with their SGR, what will happen to ours?