SGR Kenya sasa rasmi ni "Big white Elephant", Maneno ya " Ndii yatimia.

It is even more scary to Tanzania. Kumbuka production ya Kenya ni more than thrice ya Tanzania which in turn means wana mizigo mingi zaidi yetu. So if that is the case with their SGR, what will happen to ours?

ours has already settled out by vgf.
 

Wewe umeona la kiwanda tu? Don't be myopic; read the whole lot and come back if you still don't get the message.
By the way; hayo matatizo uliyoyaandika hapa Tanzania hayapo? Simple question; how do you compare the balance sheets of Kenya and Tanzania? Vinalingana?
 
Really we are not reading the same book, the problem with you is that you tend to assume things instead of taking your time to understand the subject. Who told you that Kenya SGR is making loss because it doesn't get enough cargo?. Soma vizuri hiyo article utaelewa acha kukurupuka, mpaka sasa mizigo inayobebwa na SGR haijafika hata 20% ya mizigo yote inayopitia Mombasa port wakati lengo ni kubeba 40%. Kaka inaonekana hufahamu haya mambo kwa undani.
 
So is 97% private sector controlled jobs and 75% investments is Fiction??
Boss the pivate sector in Tz has been running their affairs with too much freedom and impunity..Hata leo enda ulaya ungalie wapi kazi zote ( 97%) zinamikikiwa na private sector
 
1)Kenyan Tea/Coffee producers have quit SGR,Its too expensive to ferry with SGR
2)Having. a larger Gdp does not mean producing more materials..Kenya produces more services. Than goods
 

For your information; kuna analysis za economic viability kwa SGR kwa Ethiopia na Kenya. Hiyo ndio basis ya reference yangu. Hata Ndii alitumia the same analysis. Yours is more of fiction than the reality. Common sense will tell you this simple fact: hata kama mizigo yote inayopitia bandari ya Mombasa ingekuwa inasafirishwa bure kwa kutumia SGR isingewezekana 100% ya cargo isafirishwe kwa SGR maana sio kila mzigo ni west-bound.
And where do you get those percentages? Au ndio statistics za jiwe na Palamaganda?
 
So; to you production means production of food? Do all countries in the world produce enough food for their consumption? Strange logic this!
Yap in East Africa, except for Kenya, we are exporting maize to Zimbabwe now.
By the way why is the food situation in your country Kenya always on the Headlines.
Someone should advise Hon, Pres Uhuru we have plenty of maize for ugali here in TZ
Poor Kenyans were dying for lack of food while all the funds were directed to the SGR
 
So is 97% private sector controlled jobs and 75% investments is Fiction??
Boss the pivate sector in Tz has been running their affairs with too much freedom and impunity..Hata leo enda ulaya ungalie wapi kazi zote ( 97%) zinamikikiwa na private sector

Why ask me something I never suggested? Umeleta fiction wewe ya kushuka gharama za usafiri wa ndege baada ya Fastjet kuondoka.
 
Wewe umetoa mfano wa Macron kusaini ujenzi wa kiwanda kama dalili ya kupanda kwa production ambayo umesema ni 3x, kwanini usiseme kuhusu njaa inayoikumba Kenya kila mwaka, au upingufu wa ajira ulivyomkubwa Kenya?, hivi ndio viashiria vinavyoonyesha kwamba production ni ndogo kuliko Tanzania.

Pro- indicators za kuwa na production kubwa ni
1) Increased Exports vs Imports
2)Decrease in Imports
3)Lower unemployment rate/Job creation
4) Lower annual inflation rate
5)Bigger economic growth
6)Availability if food and other basic needs at affordable prices.

Wewe unatumia vigezo gani kupima production ya nchi hadi unadiriki kusema production Kenya ni thrice of Tanzania?
 
Ndo maana ni lazima Raisi Magufuli aendelee hadi ~ 2035 kama kweli tunataka hii miradi isife kama inavyokufa Kenya vinginevyo akiondoka tu, kwishney!
Una uwezo mdogo sana wa kufikiri ndugu yangu mtanzania.Tangu lini akili iliyotrngeneza tatizo ikatumika kutengeneza tatizo?Vijana wa CCM nani kawaroga jamani!
 
Your failure to answer my questions speaks volumes in itself.
Who feeds Kenya by the way? Does Japan produce enough food to meet its internal demand? Unajua concept ya comparative advantage?

Ahaaa haaa haaa
Bro do not compare Japan na vitu vya hovyo.
In Kenya people are perishing because of food. No money to buy food. But that is not the case in Japan.
 
Naomba uniletee number jinsi production Kenya ni thrice ya Tz
 
Hizo analysis unazotumia na ambazo anatumia Ndii tunaomba uziweke hapa tuzione, acha uongo. Ndii ndiye ambaye alisema hii SGR haiwezi kutengeneza faida. Tuwekee hizo analysis tuzioni kama ni kweli, ninajua huna hiyo analysis, lazima utapiga chenga.
 
Una uwezo mdogo sana wa kufikiri ndugu yangu mtanzania.Tangu lini akili iliyotrngeneza tatizo ikatumika kutengeneza tatizo?Vijana wa CCM nani kawaroga jamani!


Basi kama ni hivyo mbona Mbowe bado Mwenyekiti chadema wakati ndiye aliyeleta matatizo chadema?
 
Why ask me something I never suggested? Umeleta fiction wewe ya kushuka gharama za usafiri wa ndege baada ya Fastjet kuondoka.
1)Bila wewe kuleta evidence ya nauli ya ndege siwezi comment, Vile navyo jua ni kwamba nauli imerudi chini.

2) Leta mfano wa nchi za magaribi mnazo zienzi ambazo zimewaruhuru wanabiashara wawe na 97% control of emplyoment and 3/4 investment..

Mumezoea kukariri nadharia za wazungu na wao wenyewe hawazifuati
 
Hana ushahidi wowote ule, kazi yake ni kupiga domo tu.
 
Ahaaa haaa haaa
Bro do not compare Japan na vitu vya hovyo.
In Kenya people are perishing because of food. No money to buy food. But that is not the case in Japan.

Ulielewa nilichoandika na logic yake lakini? Where did I compare Kenya with Japan?

Alaaniwe alieharibu mfumo wa elimu ya nchi hii. Wewe ni mfano halisi wa product ya elimu hii ya Tanzania isiyoruhusu independent thinking and analysis. Mnakaririshwa tu.
 

Ahaaa haaa haaa
Bro do you really understand what is creative accounting!!?
 

Rahisi tu. Nenda websites yeyote

1. Google "cheap flights to Dar es Salaam" utajionea mwenyewe.

2. Any developed western country. Kazi ya government ni regulatory sio doing business.

Nitajie nchi yeyote ya first world inayomiliki shirika la ndege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…