awamuyetu
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 327
- 164
Kwa hiyo unashauri abaki kwa ajili ya kulinda SGR? Kweli? Ina maana hataki kupumzika mzee wetu?Ndo maana ni lazima Raisi Magufuli aendelee hadi ~ 2035 kama kweli tunataka hii miradi isife kama inavyokufa Kenya vinginevyo akiondoka tu, kwishney!