SGR: Kumbe Kenya ilifikiria iliponunua diesel

SGR ya tanzania ina uwezo wa kubeba takriban tani milioni 17 kwa mwaka ilhali ya kenya ina uwezo wa kubeba hadi tani milioni 35 sasa hata ubebe tani 30,000 kwa siku kwa mpigo utakuwa unachezea tani milioni 17 tu kwa mwaka, haitokuwa jambo la busara kupitisha kwa kuwa reli yenyewe imejengwa kuhandle 17m tonnes a year
 
Planned kilometers zetu za sgr ni 2460 we unumwa kweli Tanzania is next level joh
 
Kwani ikiwa na capacity ya 10000 tonnes ndio lazima upakie 10000 tonnes, ukiweka 5000 tonnes itagoma kwenda?
 
Hivi ndivyo mnavyojidanganya mkikosa unga?? Utasubiri sana train yetu inabeba mara mbili ya yenu per day na mara 3.5 ya yenu per year.
 

halafu ya tanzania itawahi kufika za kenya 3 bado ziko njiani teh teh,
 
Hivi ndivyo mnavyojidanganya mkikosa unga?? Utasubiri sana train yetu inabeba mara mbili ya yenu per day na mara 3.5 ya yenu per year.
Mara 3.5 ya yetu ndo ukoko gani huo?
 
 
[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…