Kuna maeneo mawili ambapo wajenzi wa reli ya kisasa SGR wamefanya mchepuko wa barabara katika manispaa ya Morogoro,moja ni Kihonda na ya pili ni mbele kidogo Lutheran Junior seminary.
Shida kubwa ni kuwa hawamwagillii maji hizi diversion ni hii inasababisha vumbi jingi.
Mnaowakagua wahimizeni,uwezo wanao!!
Shida kubwa ni kuwa hawamwagillii maji hizi diversion ni hii inasababisha vumbi jingi.
Mnaowakagua wahimizeni,uwezo wanao!!