mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
Napongeza uwekezaji mkubwa uliofanyika ktk ujenzi wa miundombinu yenye thamani kubwa ktk nchi.
Serikali imetumia zaidi ya Tirioni 8 ktk ujenzi wa SGR..Kilichofanyika ni uwekezaji wa kihistoria ulifanikishwa kwa mapato ya ndani na mikopo ya fedha yenye riba nafuu na isiyo na riba nafuu..
Tuna jukumu la kulipa mikopo na madeni yetu kwa wakati stahiki kuepuka adhabu na malimbikizo kuwa makubwa zaidi..
Ili kufanikisha ulipaji madeni husika lazima tujifunge mikanda haswaa na kuhakikisha uzalishaji na biashara zinashabihiana na mzigo wa madeni tulionayo sasa na baadae..
Treni mpya ya abiria ya kisasa inayofanya kazi ktk miundombinu ya SGR imekuwa gumzo na kivutio kwa watanzania wengi haswa safari za Dar mpaka Dodoma..Mihemuko yetu,Hisia zetu na matamanio hakika yamejaa shauku kubwa..
Nikitafakari kibiashara na ukubwa wa obligations tulizonazo ktk madeni nawiwa kushauri TRC na serikali kwa ujumla kutazama namna ya kufungamanisha maendeleo ya uchumi wa nchi na matumizi yenye tija ya uwekezaji wa SGR.Naamini hatukuwekeza tirions ili tubebe abiria..
Msingi wa uwekezaji ni kufungua collidor kwa kuwezesha usafirishaji wa bidhaa,mazao ya kilimo,Ufugaji,madini kwenda nje ya nchi (Export pia imports kwenda ndani ya nchi (Local Imports) na Transit imports.
Sasa ni wakati wa kupima maeneo ya uwekezaji wa viwanda vikubwa,Mashamba makubwa (Kilimo) kisha vigawiwe bure kwa wawekezaji wa ndani na nje ili kukuza uzalishaji kisha matumizi yenye tija
Serikali imetumia zaidi ya Tirioni 8 ktk ujenzi wa SGR..Kilichofanyika ni uwekezaji wa kihistoria ulifanikishwa kwa mapato ya ndani na mikopo ya fedha yenye riba nafuu na isiyo na riba nafuu..
Tuna jukumu la kulipa mikopo na madeni yetu kwa wakati stahiki kuepuka adhabu na malimbikizo kuwa makubwa zaidi..
Ili kufanikisha ulipaji madeni husika lazima tujifunge mikanda haswaa na kuhakikisha uzalishaji na biashara zinashabihiana na mzigo wa madeni tulionayo sasa na baadae..
Treni mpya ya abiria ya kisasa inayofanya kazi ktk miundombinu ya SGR imekuwa gumzo na kivutio kwa watanzania wengi haswa safari za Dar mpaka Dodoma..Mihemuko yetu,Hisia zetu na matamanio hakika yamejaa shauku kubwa..
Nikitafakari kibiashara na ukubwa wa obligations tulizonazo ktk madeni nawiwa kushauri TRC na serikali kwa ujumla kutazama namna ya kufungamanisha maendeleo ya uchumi wa nchi na matumizi yenye tija ya uwekezaji wa SGR.Naamini hatukuwekeza tirions ili tubebe abiria..
Msingi wa uwekezaji ni kufungua collidor kwa kuwezesha usafirishaji wa bidhaa,mazao ya kilimo,Ufugaji,madini kwenda nje ya nchi (Export pia imports kwenda ndani ya nchi (Local Imports) na Transit imports.
Sasa ni wakati wa kupima maeneo ya uwekezaji wa viwanda vikubwa,Mashamba makubwa (Kilimo) kisha vigawiwe bure kwa wawekezaji wa ndani na nje ili kukuza uzalishaji kisha matumizi yenye tija