SGR: Vifaa Vya Kazi( Mafundi Umeme+ Mgari)

SGR: Vifaa Vya Kazi( Mafundi Umeme+ Mgari)

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Katika usafiri wa Sgr, umelenga watu wanafanya kazi maofisini tu.

Kwa mfano mtu kama fundi Umeme au Fundi makenika Hawa watu wanavifaa vya chuma au Mafundi Bomba.

Ukifika katika ukaguzi wanazuia Vifaa. swali Je wanaopanda Sgr ni watu wa Ofisini peke, pia katika mabehewa Kuna Abiria na Wahudumu wa Behewa usika, kuzua Vifaa vya Kazi vya mtu ni kumkosha mtu, Ridhiki yake uko aendako.

Kuna mtu Leo hii Muda hii, wamezua Vifaa vyake na amesafiri ataenda nunu Vifaa vingine aendako Tayari ni hasara kwa yule Abiria.

Uandaliwe mfumo rasimi kwa watu ambao ni Mafundi ambao kazi zao zinatumia Vifaa Ili akiamua kusafiri kwa sgr afike na kuwsilisha Vifaa vyake nakue na Mfumo kusafirisha Vifaa kwa Kila Behewa. Mfano mtu ana supana zake au playse au Testa.

Ijulikane anatakiwa kusafiri kwa mfumo upo sio kuzuiana au kutaka pesa kwa Vifaa ulivyobeba, wanatengeneza mfumo wa Rushwa.

Kwenye Behewa Kuna kua na Abiria mtu anapata wapi mda kufungua kitu akiwa anatazamwa na abiria na pia Kuna wahudumu wa behewa usika.

Katika behewa Kuna camera, za ulinzi na istoshe mizigo inamaa juu. Je mtu kusafiri na Vifaa vya kazi kaika SGR kwa Mafundi utaratibu ukoje.
 
Katika usafiri wa Sgr, umelenga watu wanafanya kazi maofisini tu.
Kwa mfano mtu kama fundi Umeme au Fundi makenika Hawa watu wanavifaa vya chuma au Mafundi Bomba.
Ukifika ktk ukaguzi wanazuia Vifaa. swali Je wanaopanda Sgr ni watu wa Ofisini peke, pia ktk mabehewa Kuna Abiria na Wahudumu wa Behewa usika, kuzua Vifaa vya Kazi vya mtu ni kumkosha mtu, Ridhiki yake uko aendako.
Kuna mtu Leo hii Muda hii, wamezua Vifaa vyake na amesafiri ataenda ninja Vifaa vingine aendako Tayari ni hasara kwa yule Abiria.
Uandaliwe mfumo rasimi kwa watu ambao ni Mafundi ambao kazi zao zinatumia Vifaa Ili akiamua kusafiri kwa sgr afike na kuwsilisha Vifaa vyake nakue na Mfumo kusafirisha Vifaa kwa Kila Behewa. Mfano mtu ana supana zake au playse au Testa.ijulikane anatakiwa kusafiri kwa mfumo upo sio kuzuiana au kutaka pesa kwa Vifaa ulivyobeba, wanatengeneza mfumo wa Rushwa.
Kwenye Behewa Kuna kua na Abiria mtu anapata wapi mda kufungua kitu akiwa anatazamwa na abiria na pia Kuna wahudumu wa behewa usika.
Ktk behewa Kuna camera, za ulinzi na istoshe mizigo inamaa juu. Je mtu kusafiri na Vifaa vya kazi ktk Sgr kwa Mafundi utaratibu ukoje.
Nathan ni kwa sababu treni hazina maboot, fikiria mtu asafiri na chainsaw na labda ni ya betri akipandwa na wazimu si atamaliza behewa zima
 
Nathan ni kwa sababu treni hazina maboot, fikiria mtu asafiri na chainsaw na labda ni ya betri akipandwa na wazimu si atamaliza behewa zima
Uandaliwe mfumo Lasimi kwa watu ambao kazi zao sio za kushika Peni
 
Katika usafiri wa Sgr, umelenga watu wanafanya kazi maofisini tu.
Kwa mfano mtu kama fundi Umeme au Fundi makenika Hawa watu wanavifaa vya chuma au Mafundi Bomba.
Ukifika ktk ukaguzi wanazuia Vifaa. swali Je wanaopanda Sgr ni watu wa Ofisini peke, pia ktk mabehewa Kuna Abiria na Wahudumu wa Behewa usika, kuzua Vifaa vya Kazi vya mtu ni kumkosha mtu, Ridhiki yake uko aendako.
Kuna mtu Leo hii Muda hii, wamezua Vifaa vyake na amesafiri ataenda nunu Vifaa vingine aendako Tayari ni hasara kwa yule Abiria.
Uandaliwe mfumo rasimi kwa watu ambao ni Mafundi ambao kazi zao zinatumia Vifaa Ili akiamua kusafiri kwa sgr afike na kuwsilisha Vifaa vyake nakue na Mfumo kusafirisha Vifaa kwa Kila Behewa. Mfano mtu ana supana zake au playse au Testa.ijulikane anatakiwa kusafiri kwa mfumo upo sio kuzuiana au kutaka pesa kwa Vifaa ulivyobeba, wanatengeneza mfumo wa Rushwa.
Kwenye Behewa Kuna kua na Abiria mtu anapata wapi mda kufungua kitu akiwa anatazamwa na abiria na pia Kuna wahudumu wa behewa usika.
Ktk behewa Kuna camera, za ulinzi na istoshe mizigo inamaa juu. Je mtu kusafiri na Vifaa vya kazi ktk Sgr kwa Mafundi utaratibu ukoje.
Tujifunze kufuata utaratibu. Hao wenye makolokolo watumie mabasi la sivyo mabehewa yataharibika Mapema
 
Kwa jinsi zile treni zilivyo wanaweka wapi vifaa vyao.

Pole sana mkuu.
 
Au kama vipi wakafanye study tour huko ughaibuni ili waone mafundi wanasafirije
 
Kwa mtazamo wangu waweke mfumo kwa Mafundi inamaana wanaosafiri na sgr wote wanafanya kazi za Ofisini yaani wanakula kwa Peni.
 
Katika usafiri wa Sgr, umelenga watu wanafanya kazi maofisini tu.

Kwa mfano mtu kama fundi Umeme au Fundi makenika Hawa watu wanavifaa vya chuma au Mafundi Bomba.

Ukifika katika ukaguzi wanazuia Vifaa. swali Je wanaopanda Sgr ni watu wa Ofisini peke, pia katika mabehewa Kuna Abiria na Wahudumu wa Behewa usika, kuzua Vifaa vya Kazi vya mtu ni kumkosha mtu, Ridhiki yake uko aendako.

Kuna mtu Leo hii Muda hii, wamezua Vifaa vyake na amesafiri ataenda nunu Vifaa vingine aendako Tayari ni hasara kwa yule Abiria.

Uandaliwe mfumo rasimi kwa watu ambao ni Mafundi ambao kazi zao zinatumia Vifaa Ili akiamua kusafiri kwa sgr afike na kuwsilisha Vifaa vyake nakue na Mfumo kusafirisha Vifaa kwa Kila Behewa. Mfano mtu ana supana zake au playse au Testa.

Ijulikane anatakiwa kusafiri kwa mfumo upo sio kuzuiana au kutaka pesa kwa Vifaa ulivyobeba, wanatengeneza mfumo wa Rushwa.

Kwenye Behewa Kuna kua na Abiria mtu anapata wapi mda kufungua kitu akiwa anatazamwa na abiria na pia Kuna wahudumu wa behewa usika.

Katika behewa Kuna camera, za ulinzi na istoshe mizigo inamaa juu. Je mtu kusafiri na Vifaa vya kazi kaika SGR kwa Mafundi utaratibu ukoje.nalo

Katika usafiri wa Sgr, umelenga watu wanafanya kazi maofisini tu.

Kwa mfano mtu kama fundi Umeme au Fundi makenika Hawa watu wanavifaa vya chuma au Mafundi Bomba.

Ukifika katika ukaguzi wanazuia Vifaa. swali Je wanaopanda Sgr ni watu wa Ofisini peke, pia katika mabehewa Kuna Abiria na Wahudumu wa Behewa usika, kuzua Vifaa vya Kazi vya mtu ni kumkosha mtu, Ridhiki yake uko aendako.

Kuna mtu Leo hii Muda hii, wamezua Vifaa vyake na amesafiri ataenda nunu Vifaa vingine aendako Tayari ni hasara kwa yule Abiria.

Uandaliwe mfumo rasimi kwa watu ambao ni Mafundi ambao kazi zao zinatumia Vifaa Ili akiamua kusafiri kwa sgr afike na kuwsilisha Vifaa vyake nakue na Mfumo kusafirisha Vifaa kwa Kila Behewa. Mfano mtu ana supana zake au playse au Testa.

Ijulikane anatakiwa kusafiri kwa mfumo upo sio kuzuiana au kutaka pesa kwa Vifaa ulivyobeba, wanatengeneza mfumo wa Rushwa.

Kwenye Behewa Kuna kua na Abiria mtu anapata wapi mda kufungua kitu akiwa anatazamwa na abiria na pia Kuna wahudumu wa behewa usika.

Katika behewa Kuna camera, za ulinzi na istoshe mizigo inamaa juu. Je mtu kusafiri na Vifaa vya kazi kaika SGR kwa Mafundi utaratibu ukoje.
Hili nalo mkalitazame!
 
Kumbe hakuna mafundi wanaopanda ndege kwenda mikoani tukajifunze kwenye ndege wanasafirije na makorokoro yao?
 
Aliefunga Mitambo ya TVT amboyo sasa hivi inaitwa Tbc yule Engineer alikua anavuta sana Sigara sana, na alikuja Tools Box lake kutoka....... Nchi aliotoka mpaka leo hii namba yake yule Engineer ninayo swali je alisafiri Vip na Vifaa vyake Tujifunze kwa Nchi nzilizo mbele yetu kwa maendeleo tunaitaji Kujifunza, ina maana Watanzania wote wanafanya kazi maofisini.
 
Katika usafiri wa Sgr, umelenga watu wanafanya kazi maofisini tu.

Kwa mfano mtu kama fundi Umeme au Fundi makenika Hawa watu wanavifaa vya chuma au Mafundi Bomba.

Ukifika katika ukaguzi wanazuia Vifaa. swali Je wanaopanda Sgr ni watu wa Ofisini peke, pia katika mabehewa Kuna Abiria na Wahudumu wa Behewa usika, kuzua Vifaa vya Kazi vya mtu ni kumkosha mtu, Ridhiki yake uko aendako.

Kuna mtu Leo hii Muda hii, wamezua Vifaa vyake na amesafiri ataenda nunu Vifaa vingine aendako Tayari ni hasara kwa yule Abiria.

Uandaliwe mfumo rasimi kwa watu ambao ni Mafundi ambao kazi zao zinatumia Vifaa Ili akiamua kusafiri kwa sgr afike na kuwsilisha Vifaa vyake nakue na Mfumo kusafirisha Vifaa kwa Kila Behewa. Mfano mtu ana supana zake au playse au Testa.

Ijulikane anatakiwa kusafiri kwa mfumo upo sio kuzuiana au kutaka pesa kwa Vifaa ulivyobeba, wanatengeneza mfumo wa Rushwa.

Kwenye Behewa Kuna kua na Abiria mtu anapata wapi mda kufungua kitu akiwa anatazamwa na abiria na pia Kuna wahudumu wa behewa usika.

Katika behewa Kuna camera, za ulinzi na istoshe mizigo inamaa juu. Je mtu kusafiri na Vifaa vya kazi kaika SGR kwa Mafundi utaratibu ukoje.
Andika kwa ufasaha ueleweke mkuu...Una ujumbe sema umeshindwa kuufikisha kwa maandishi fasaha
 
Andika kwa ufasaha ueleweke mkuu...Una ujumbe sema umeshindwa kuufikisha kwa maandishi fasaha
Okey kaka mm sijasoma sana Elimu yangu ni ya kuunga unga, najua tu harakati za bishara Basi na Kutafuta pesa ya kula. Nisaidie kufukia huo ujumbe kwa Jamii
 
Back
Top Bottom