Abunwasi JF-Expert Member Joined Jun 25, 2009 Posts 5,486 Reaction score 3,473 Dec 18, 2018 #41 mr sangoyi said: Graph ya mapato inazidi kupaa?? Hebu weka data acha longolongo mkuu haya ni maneno yako Click to expand... Ninafahamu kuwa wengi humu ndani badala kuwa rational thinkers tumevamiwa na irrational tinkers. Wala hakuna haja hata ya graph lakini unaweza kuona competiting airline kama Precision wanafanya nini ili kuweza kushindana.
mr sangoyi said: Graph ya mapato inazidi kupaa?? Hebu weka data acha longolongo mkuu haya ni maneno yako Click to expand... Ninafahamu kuwa wengi humu ndani badala kuwa rational thinkers tumevamiwa na irrational tinkers. Wala hakuna haja hata ya graph lakini unaweza kuona competiting airline kama Precision wanafanya nini ili kuweza kushindana.