Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Huu ni ushauri wangu tu kwa kuanzia kila choo kiwe na askari mlangoni kukagua kila anayetoka chooni kama kachafua au kakiacha choo kisafi kama alivyokikuta.
Na atakayechafua aidha asafishe mwenyewe au apigwe faini ndefu.
Bila ya hivyo itakuwa SGR ya kichocho na kipindu pindu baada ya safari ya kwanza tu, I know my people …
Na atakayechafua aidha asafishe mwenyewe au apigwe faini ndefu.
Bila ya hivyo itakuwa SGR ya kichocho na kipindu pindu baada ya safari ya kwanza tu, I know my people …