SGR yetu waweke Polisi au JKT chooni!

SGR yetu waweke Polisi au JKT chooni!

Kwenye viwanja vya ndege vya kimataifa.Huulizwi umefanya nini.Ukitoka tu kuna mtu mlangoni anakusubiri asafishe tena mara nyengine wa jinsia tofauti.
Halafu kwa ujumla mtu akiingia chooni inategemea alikuwa na hali gani na alikwenda kufanya nini.Wakati mwengine unatamani uwache choo kisafi lakini hali hairuhsusu inabidi utoke tu.
Kama maji ya kutosha hakuna utafanyaje.
Wanaotumia uwanja wa ndege wengi ni watu matajiri na walioendelea.
 
Huu ni ushauri wangu tu kwa kuanzia kila choo kiwe na askari mlangoni kukagua kila anayetoka chooni kama kachafua au kakiacha choo kisafi kama alivyokikuta.

Na atakayechafua aidha asafishe mwenyewe au apigwe faini ndefu.

Bila ya hivyo itakuwa SGR ya kichocho na kipindu pindu baada ya safari ya kwanza tu, I know my people …
Picha wapi?
 
Huu ni ushauri wangu tu kwa kuanzia kila choo kiwe na askari mlangoni kukagua kila anayetoka chooni kama kachafua au kakiacha choo kisafi kama alivyokikuta.

Na atakayechafua aidha asafishe mwenyewe au apigwe faini ndefu.

Bila ya hivyo itakuwa SGR ya kichocho na kipindu pindu baada ya safari ya kwanza tu, I know my people …
Kuna mtu alifungua dirisha akaanza kukojoa dirishani.
 
Abiria 900+ kuna vyoo vingapi kwenye SGR?
 
Kuna siku naingia msalani napishana na mtu mzima kafanya yake hajasafisha choo ilibidi nimrudie nimwambie ukweli.
Nchi hii magonjwa mengine tunayapata kwa uzembe wa watu.Ni aibu sana mtu kuingia chooni na kutoka bila kumwaga maji.
 
Huu ni ushauri wangu tu kwa kuanzia kila choo kiwe na askari mlangoni kukagua kila anayetoka chooni kama kachafua au kakiacha choo kisafi kama alivyokikuta.

Na atakayechafua aidha asafishe mwenyewe au apigwe faini ndefu.

Bila ya hivyo itakuwa SGR ya kichocho na kipindu pindu baada ya safari ya kwanza tu, I know my people …
Kwa suala la usafi wa vyoo Tanzania, safari bado ndefu.
 
Huu ni ushauri wangu tu kwa kuanzia kila choo kiwe na askari mlangoni kukagua kila anayetoka chooni kama kachafua au kakiacha choo kisafi kama alivyokikuta.

Na atakayechafua aidha asafishe mwenyewe au apigwe faini ndefu.

Bila ya hivyo itakuwa SGR ya kichocho na kipindu pindu baada ya safari ya kwanza tu, I know my people …
Vyoo vyote viwekwe CCTV camera na speaker kuangalia majitu machafu likichafua tu mchunguzi aongee kwa maiki katika chumba cha kuangalia waingiao chooni kumjulisha asitoke hapo chooni mpaka asafishe.Mchunguzi awe na siri asicheke akiona wowowo na vinginevyo.
 
Sasa huyo police atachungulia wangapi ?

Wabongo hata vyoo vyao wengine ni hivyo hivyo.

Sema wauze ili wabongo wenye kuweza wavisimamie vyoo kwa mkataba.
 
Wabongo kwa uchafu wanajulikana.

Kuwe na kampuni za usafi tu kama ofisini,kila baada ya muda flani wanasafisha.

Hapo itasaidia sana kumaintain.
 
Aisee,kuna mda unaenda hata bar unakuta hiko choo balaa kwa uchafu.

Na kuna watu wanakunywa na kuingia chooni kama kawaida.
 
Sasa huyo police atachungulia wangapi ?

Wabongo hata vyoo vyao wengine ni hivyo hivyo.

Sema wauze ili wabongo wenye kuweza wavisimamie vyoo kwa mkataba.

kama analipwa mshahara kwa ajili hiyo atachunguza kila pua itumiayo choo kwani inakuwa ni kazi yake na akiifanya vizuri kazi itapungua kwani wachafuzi watasafisha wenyewe kabla ya kushikwa na “kudhalilishwa” …
 
Back
Top Bottom