WAKUU MIMI SIONI TATIZO KABISA KWA MTOA MAADA HAPO JUU, HIYO BUKU TANO INATOSHA NA INAWEZA BAKI,
- WAKUU KUNA KITU KINAITWA BUSINESS STRATEGIES, NA HIVYO VYOTE MNAVYO MUULIZA NAULI, MASHINE NA KAZALIKA VIKO KWENYE BUSINESS STRATEGIES ZAKE.
Wakuu mimi huwa na soma sana historia za makampuni makubwa sana Duniani, na mengi ya hayo makampuni yalianza na mitaji midogo sana na leo hii ni moja ya bland kubwa za dunia,
WAKUU LABUDA TUULIZANE HILI SWALI.
1. Je ni kiasi gani cha fedha kipo maalumu kwa ajiri ya baishara?
2. Kuna kiasi maalumu wa kuanzishia aina yoyote ile ya baishara?
Ninavyo jua mimi hata ukipewa sh 1000 ukaweza kutengeneza sh 200 kutoka kwenye hiyo elfu 1000 ni strategies nzuri sana.
Na mkuu amejaribu kuorodhesha vitu vyake pale chini, na watu wamemcrash sana kwamba haiwezakani labuda ya kenya au Dolla, Ninacho weza kusema kwa real entrepreners hiyo elfu 5000 inatosha kabisa na kwa mtu ambaye ni mfanya biashara tu hiyo elfu 5 haitoshi kabisa.
Entrepreners anaweza tengeneza pesa ya kutosha kutoka hiyo buku 5 ila kwa business man haiwezekani kabisa na ni ndoto na watu wengi wanao pinga hii kitu watakuwa na wafanya biashara na si wajasirimali.
KWA NINI KWA MJASIRIAMALI INATOSHA?
1. Entrepreners si profit oriented so utaona kwamba inawezekana, mtoa maada hajajikita kwenye faida bali kutengeneza product
2. Entrepreners anakuja na uniq aidea yake, mtoa maada kaja na wazo la buku tano kutosha na ni kweli inaweza mtosha
3. Entrepreners huyatoa maisha yake yote katika biashara yake, so mtoa maada anaweza tembea kwa mguu kwenda sokoni kununua product bila hata kupanda gari kwa sababu maisha yake yote yako katika biashara hana muda wa kwenda kusalimia shangazi na mjomba
4. Ni inovative and revulutionary, hapa si kwenye product tu hata jinsi ya kucheza na cost
5. Ni risk taker tena calculated one, bila kuwa risk taker hiyo buku 5 si chochote
6. Mjasirimal ni kiongozi wa masoko
7. Entrepreners puts his own money first,
yeye anaanza na kile alicho nacho hasubiri mikopo na mashindano ya kuandika business planing, so mtoa maada anaweza kuwa mjasirimali kwa sababu ameanza na kile alicho nacho
Entrepreneurship is not an easy feat compare to merely doing business. We can also realize that an entrepreneur is a business person who has evolved into a more complete person – one that is not simply a business person but a real human being. Being a businessman is good. Being profit oriented, market player, business competitor, traditional, busy and active income earner is not bad since all business owners have been on those stages. Even the successful entrepreneurs, before they succeed, have been into that. It is just that they have taken the right move to evolve into a better and even the best businessmen that they can be. That is why they become not only businessmen, but rightfully they become entrepreneurs. So, how about you? Are you a businessman or an entrepreneur? Are you merely doing business or are you taking it into a higher level, which is called entrepreneurship?