Yusuph Issa
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 528
- 82
Hahahahahahahaaaaaaa dah jf ni raha sana!
Kwani mimi nilisema halipi kwako? Au kimbelmbele?
Unamuaminia in what sense? Are you of the same feathers with Shaa?
Kwako anaweza akawa halipi wenzako ni kama wamemuona Cleopatra, mwambie master J hivyo kuwa halipi kama atakuelewa.
We nae unachosha na matangazo ya icho kiblog chako khaaaa!
kama ulikuwepo vile kiukweli shaa hana mvuto sura kama nyani ngabu!
halafu nitamalizia na wewe........
Akihojiwa katika kipindi cha ng'ari ng'ari, Shaa alisema," mimi sikuwa sababu ya kuachana kwa wao wawili (master jay na mama watoto wake),kwani ugomvi au kuachana kwa watu wawili huwa inahusu wao
wenyewe wawili ila sio mtu watatu, na kwakuwa mimi nilikuwa nimetoka kutendwa ilichukua muda kidogo hadi kuja kuwa na mahusiano na Master Jay hata yeye pia aliniambia alikuwa na maumivu yake ndio mana ilichukua muda hadi kuwa na mahusiano. Hivyo kwanini niachie bahati yangu, Nampenda sana Master"Mtangazaji: Huwa unapika ukiwa nyumbani, ilikumpagawisha mzee
Shaa: Nashukuru sana kwani Master anapenda sana kupika kwakweli na mara nyingi huwa anapika yeye kuliko mimi, na Inshalah namshukuru sana Mwenyezi Mungu
kile kiuno!!! acha masihara kile HATAARIII kabisa kwan kiuno cha 6*6 kinakuwaje?
Usione mcheza shoo anakata viuno ukafikiri ndo umepata ndugu yangu. Utavunjwa kiuno..!! Hivi ni vi2 viwili tofauti
sasa alivyokuwa anakataaga.............watu toka enzi hizo tunajua
anakisanua na master lakin akiulizwa anabisha......leo naona kaamua kusema
ila master namuaminia wallah
kama ulikuwepo vile kiukweli shaa hana mvuto sura kama nyani ngabu!
mwanzoni nilidhani ni marafiki wa kawaida ila sasa nimekubali si rahisi kuwepo urafiki wa kawaida kati ya mwanaume na mwanamke
Master jay nae mbona kamchukua msanii wa kawaida tu,wote wazuri waliojaa mjini hawa.
kumbe hadi wana team yao?
weka picha