fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Nafikiri hivi sasa huna la kusema,maana unajua huyo uliyemtaja yuko wapiKama taarifa hii itathibitika basi Shaaban Djuma wa AS Vitta Club atakuwa anaelekea RS Berkane ya Morocco.
Ikumbukwe hivi majuzi miamba ya Jangwani ilijinasibu kumpata kwa kitita cha shs bilioni moja za Kitanzania.
Muda ni mwalimu mzuri.
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app