Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Nimeona uwanjani wakati timu zinapasha moto beki wa kulia Shaaban Juma alikwenda uwanjani kuchomeka hirizi katikati ya uwanja tena hadharani bila aibu, hii ni dalili tosha kuwa Yanga sio timu bora kama wanavyojitapa, hiv timu iliyosajili kwa mamilioni ya shilingi inaweza kuamini superstition? Halafu akatokea mchezaji mwingine wa Yanga akamwaga maji uwanjani, shame on u Yanga.
Mtaweza kweli kupambana kimataifa nyie?
Mtaweza kweli kupambana kimataifa nyie?