Shaaban Kissu, mtangazaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko watangazaji wote nchini, alifuatiwa na Gadner G

Twambie kwanzashahara wako kabla ya kutaja ya wenzako
 
Beer gani alikua anaipenda
 
Kama mtangazi ghali bongo analipwa milioni 5 basi utangazaji bongo ni njaa tu ukisikia pesa wanazolipwa wanahabari wa media Kenya. Wapo wanaolipwa mara 5 zaid ya hiyo.
 
Millard Ayo is typing…
 
kumbe Kibonde bado yupo hai!!!
 
Huyu kisu ndio alichukua dili la kibonde, huo mchongo ulikuwaga wa kibonde kama mnajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…