Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Mabondia Karim Mandonga na Shaban Kaoneka wamerudi tena kwenye headlines kufuatia kauli ya Shaban Kaoneka aliyoitoa jana akizungumza na Wasafi.
"Mandonga amepata bahati kuliko mimi, waandishi wa habari wakati mwingine mnakuwa wanafiki, mimi niliyeshinda nakuwa masikini aliyepigwa anakuwa tajiri,"
Kauli hiyo imemuibua Mandonga Mtu Kazi ambaye hivi karibuni amelamba madili mbalimbali!
"Dah Shabani ndugu yangu me naamini kabisa ridhiki inatoka kwa mafungu na kwa muda maalumu alieupanga Mungu suala la nani afanikiwe nani aishie njiani ni majukumu ya Allah mimi na wewe hatupaswi kumlaumu mtu yoyote yule.
"Katika tasnia hi ya mchezo wa ngumi na watu wa media kiujumla hata mimi sijawahi kuwaza kwamba ipo siku nitasimama kama SUPERSTAR MKUBWA but all in all tujfunze kumshukuru Mungu kwa kila jambo. KAMA IPO IPO TU"
"Mandonga amepata bahati kuliko mimi, waandishi wa habari wakati mwingine mnakuwa wanafiki, mimi niliyeshinda nakuwa masikini aliyepigwa anakuwa tajiri,"
Kauli hiyo imemuibua Mandonga Mtu Kazi ambaye hivi karibuni amelamba madili mbalimbali!
"Dah Shabani ndugu yangu me naamini kabisa ridhiki inatoka kwa mafungu na kwa muda maalumu alieupanga Mungu suala la nani afanikiwe nani aishie njiani ni majukumu ya Allah mimi na wewe hatupaswi kumlaumu mtu yoyote yule.
"Katika tasnia hi ya mchezo wa ngumi na watu wa media kiujumla hata mimi sijawahi kuwaza kwamba ipo siku nitasimama kama SUPERSTAR MKUBWA but all in all tujfunze kumshukuru Mungu kwa kila jambo. KAMA IPO IPO TU"