makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ndio ujue kama Bongo wengi sifuri. Mtu anaongea kitu kwa sababu hana fikra, anazungumza kitu hakina mantiki.
Mandonga kilichomuweka pale ni mdomo wake na kipigo alichopewa. 😂, mamdonga kawa maarufu toka pambano lake lile akula mkono mmoja tu chalii😂
Mandonga kilichomuweka pale ni mdomo wake na kipigo alichopewa. 😂, mamdonga kawa maarufu toka pambano lake lile akula mkono mmoja tu chalii😂