Shabani Kaoneka alalamika Mandonga kupambwa zaidi yake aliyeshinda pambano

Ndio ujue kama Bongo wengi sifuri. Mtu anaongea kitu kwa sababu hana fikra, anazungumza kitu hakina mantiki.

Mandonga kilichomuweka pale ni mdomo wake na kipigo alichopewa. ๐Ÿ˜‚, mamdonga kawa maarufu toka pambano lake lile akula mkono mmoja tu chalii๐Ÿ˜‚
 
Mandonga kama Mandonga

Kila mtu ana namna ya kutoka wakati ukifika..........
 
Kwanza hata pambano lenyewe nadhani huyo Mandonga ndio kalifanya kuwa maarufu hata kabla halijafanyika. Sifuatiliagi boxing ila niliona video nyingi sana za Mandonga kabla ya pambano
 
ila jamaa katoka kinamna yake ase. Kama ilivyo kuwa kwa kanyaboya na Kilaza.
Hlf kama kapata umaarufu ghafla na amekubalika Sana Tu......binafsi namkubali Sana....

Ndo unaambiwa akikupa mungu hakuna WA kuzuia....na Kila kitu huja Kwa Wakati wake
 
Kaoneka lawama hazisaidii Bali kuna jambo la kujifunza kwa โ€Škaka ako Mandonga, Amegeuza changamoto kuwa fursa. Kuendelea kulalama ni kutuonesha mashabiki wako hauna maturity, akili yako inafanya kazi ukiwa ulingoni lakini nje ya ulingo akili kisoda

Binafsi nilikuwa simkubali Mandonga lakini kwa sasa ni shabiki namba moja.
 
Maisha kitu cha ajabu ajabu hv
Hlf kama kapata umaarufu ghafla na amekubalika Sana Tu......binafsi namkubali Sana....

Ndo unaambiwa akikupa mungu hakuna WA kuzuia....na Kila kitu huja Kwa Wakati wake
 
Kaoneka hapendi kujifunza kuhusu urefu wa kamba. Asiingie pango la popobawa kinyumenyume huku hana nguo hata moja mwilini.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mandonga ajitahidi kidogo atakachopata akiwekeze kwenye kilimo cha matikiti

Umaarufu ni kama upepo huja na kuondooa amuulize wema sepenga ndio wa kutembeabna bodaboda kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ