Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
wewe unaumwa kweli ..soma achana na siasa shuleni hazitakupeleka kokotepeople's power
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unaumwa kweli ..soma achana na siasa shuleni hazitakupeleka kokotepeople's power
hii maada ya UDOM siipendi kabisa....Yaani nyinyi wenyewe ndio mlimchukulia Fomu za kugombea urais JK.Sasa mnapayuka nini! Vumilieni hayo matatizo mpaka 2015. Na Mtalijua jiji!
patty,unakoment kwa jazba tena kipumbavu, kama wewe ni mwana UDOM na huhusiki katika kumchukulia rais fomu za kugombea urais ni kwanini wakati huo hamkukanusha kuwa udom haihusiki? Leo ndo unajifanya kuiondoa udom kwenye saga. For u r info huyo mpare munamuandama bure, chuo chenu hakijaletewa fedha kwa kuwa fedha nyingi zimetumika kwenye uchaguzi na serikali haina hela, ukweli ni kuwa hizo tume zilizoundwa ni delaying tactic huku govt ikitafuta fedha. Huyo DVC-admn and finance hamuwezi kumuondoa kamwe kwa kuwa kwa sasa hana kosa wala kauli. Fumbueni macho muone ukweli na muache utoto kwani wanafunzi na walimu wa UDOM wote bado mna uelewa mdogo wa issues.