Shabiki alietoka Kigoma kwa mguu

Shabiki alietoka Kigoma kwa mguu

Hank_31

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
862
Reaction score
2,148
Wakulungwa naomba tutafute namna ya kumfariji huyu ndugu yetu.
download.jpg
 
[emoji28][emoji28] uyu bwana itabidi tumchangie jamani
 
Huwezi kuwa siriaz na kazi za kufanya kukuingiza kipato ukafanya upuuzi kama huyo mkimbizi
 
[emoji28][emoji28] uyu bwana itabidi tumchangie jamani
Kuna wazee wa fursa kule fb waliweka namba ya kutuma pesa na watu wakaanza kutuma mizigo,kuja kushtuka namba haipatikani na mizigo iliyotumwa ishatolewa.
Bongo kuna watu wanaelimu pana ya upigaji.
 
Kuna wazee wa fursa kule fb waliweka namba ya kutuma pesa na watu wakaanza kutuma mizigo,kuja kushtuka namba haipatikani na mizigo iliyotumwa ishatolewa.
Bongo kuna watu wanaelimu pana ya upigaji.
Dah jamani watu awaogopi dhambi
 
Back
Top Bottom