3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Kuliko wale wachangia msiba kila siku... Turubai fc.Mtu wa mbeya=washamba
Simba=mbumbumbu
Huyu anaitwa shabiki mbumbumbu mshamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuliko wale wachangia msiba kila siku... Turubai fc.Mtu wa mbeya=washamba
Simba=mbumbumbu
Huyu anaitwa shabiki mbumbumbu mshamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo mikumi tu,yani akiikatisha makambako,mafinga mufindi hicho kipande kina baridi na mvua za kutosha.😃Mbeya kuja Dar si angedandia mafuso ya ndizi na viazi yapo mengi tuu au anajiboost na kitu cha malawi.Pale mikumi Simba watamfanya kitoweo.
Siyo mikumi tu,yani akiikatisha makambako,mafinga mufindi hicho kipande kina baridi na mvua za kutosha.😃Mbeya kuja Dar si angedandia mafuso ya ndizi na viazi yapo mengi tuu au anajiboost na kitu cha malawi.
Kama pesa anayo ni swala la kawaida ila kama hana kitu ni mpumbavu,wazungu wanakuwaga na bajeti tayari ishaandaliwaKuna saa nachukia mitazamo yatu sisi weusi sijui tuna laana gani sasa badala ya watu kumpa support ndo wanaanza kumuona anatafuta kiki. Angekua mzungu apo tungemuona bonge la mjanja embu acheni izo mambo bana kuna watu wamepita apa tz kwa miguu toka western country’s kwa miguu sasa uyu wetu tunamuona kichaa aisee utumwa wa akili ni mbaya sana
Labda wanaume wa dar ndiyo wanatembea km 35 kwa siku wamechoka,huku mikoani watu wanatembea km 100 na zaidi kwa siku na miguu haichubukiMbeya to dar ni km 700. Sasa kadiria kwa siku atatembea km35 inamaana atatumia 20 days. Siyo rahisi kuweza kutembea kila siku miguu itachubuka lazima.
Ata akizidisha sana anaweza tembea km.50 inamaana atatumia siku 14. Huyu ni mpumbavu kama so kichaa...Mbeya to dar ni km 700. Sasa kadiria kwa siku atatembea km35 inamaana atatumia 20 days. Siyo rahisi kuweza kutembea kila siku miguu itachubuka lazima.
Mabakuli yapo yanga tu, timu mpaka sasa ina milioni 60 za bakuli ndani ya miezi miwili, haya ni matumizi ya mbeya city ndani ya mwezi..Angesema achangiwe nauli.. hii kazi Yanga tu wangefanikisha.
Sio kwamba tunachuki binafsi, tatizo letu waafrika tunafanya mambo pasipokuangalia uhalisia, mbeya to dar ni zaid ya km 800,fanya hesabu tu rahisi kwa siku atatembea umbali gani ili awe dar na kuweza kuona hiyo mechi!!!?? Je umbali huo kwa mguu unawezekana? Wazungu wanafanya mambo ki uhalisia hata wewe kimahesabu unakubali.Kuna saa nachukia mitazamo yatu sisi weusi sijui tuna laana gani sasa badala ya watu kumpa support ndo wanaanza kumuona anatafuta kiki. Angekua mzungu apo tungemuona bonge la mjanja embu acheni izo mambo bana kuna watu wamepita apa tz kwa miguu toka western country’s kwa miguu sasa uyu wetu tunamuona kichaa aisee utumwa wa akili ni mbaya sana
Kama pesa anayo ni swala la kawaida ila kama hana kitu ni mpumbavu,wazungu wanakuwaga na bajeti tayari ishaandaliwa
mpuuzi mpuuzi tu
Mwanaume wa mkoa atapambana nao.Pale mikumi Simba watamfanya kitoweo.
Akikutana na Simba atajificha.Mikumi ni mbunga kuna wanyama na barabara imepita katikati ya mbunga,unaweza kukukuta simba barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app