mkaamweusi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2013
- 618
- 824
-Kijana anayejulikana kwa jina la Hassan maarufu kama Hans Jr kunako dakika ya ishirini kwenye mchezo wa everton vs gor mahia alivamia uwanja na kwenda kumkumbatia Wayne Rooney mchezaji wa Everton. Hans alisema ndoto yake ilikuwa ni kumkumbatia Rooney na imetimia Baada ya kuruka kutoka jukwaani na kumkimbilia Wayne Rooney.

Mja asili haachi asili na akiacha asili si jasiri hiyo imedhirika katika uwanja wa taifa Jijini Dar es salaam baada ya staa aliyekuwa anasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Tanzania Wayne Rooney kuchungulia nyavu za miamba wa kenya Gor mahia kuindikia goli la kuongoza kwa



Chanzo: Salehjembe

Mja asili haachi asili na akiacha asili si jasiri hiyo imedhirika katika uwanja wa taifa Jijini Dar es salaam baada ya staa aliyekuwa anasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka Tanzania Wayne Rooney kuchungulia nyavu za miamba wa kenya Gor mahia kuindikia goli la kuongoza kwa



Chanzo: Salehjembe