Shabiki maarufu wa arsenal Ulaya apost vide za pared la Yanga

Shabiki maarufu wa arsenal Ulaya apost vide za pared la Yanga

Simba tumenasa kwenye tope la dimbwi lenye vyura. Hawang'ati ila kelele sasa.
 
Basi jamani nawaombea msamaha ndugu zetu makolo.

Tuwasamehe tu watakuja kufa kwa wivu hasira shinikizo la damu na huzuni.

We si unaona hata wale makolo kindakindaki ndugu yetu makovu Scars Kalpana bila kumsahau hasibu la mchongo kutoka amazone college OKW BOBAN SUNZU wamepotea kabisa jukwaani na sijui kama ni wazima huko walipo.

Tuwaonee huruma tu.
Kawaida tuu mbona?
 
Back
Top Bottom