Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamelodi alishindwa pata goli ndani ya dakika 15 kipindi cha kwanza na dakika 15 kipindi cha pili basi ndo nitoleee hiyoMwingine huyu hapa:
Duu ya kweli hayo wanawahi kucheza na barcaWatu wamecheza mechi na FC Barcelona waje waombe mechi iarishwe na vyura wa jagwani
ndio walicheza game na Barcelona juzi tu apa 2018 walifungwa Goli tatu moja Messi alingia kipindi cha pili hiyo mechiDuu ya kweli hayo wanawahi kucheza na barca
Nikajua wewe ni pacome, kumbe ni mcha_mbuzi tu mmoja.Leo yanga tunafungwa 5 kwa 1 ...
mimi ni mchambuzi wa soka la kimataifa
🤣🤣🤣🤣🤣Patashika nguo kuchanika.
Najaribu kufikiri hii ingekuwa imefanyika Zanzibar👇🏾
View attachment 2954693
Anzishia uzi wake bibi yetuPatashika nguo kuchanika.
Najaribu kufikiri hii ingekuwa imefanyika Zanzibar👇🏾
View attachment 2954693
Angalia ata aliyeleta uzi ni nani manyau nyau na mpira ni wap na wap kazi yake ni kutaperi wagonjwa wa majiniSiasa kama hizi ndio zinazoharibu timu zetu yaani Masandawana amwogope yanga ambaye hana record yeyote nzuri ! Huyo masandawana kaishazipasua timu zote kubwa Africa leo awe na hofu na sie. Tuwe siriaz kidogo
Umaarufu eeh🤣🤣Kinacholeta burudani ni pale Yanga imefanikiwa kupata umaarufu south Africa