THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Uyo uto kichapo kipo pale pale malalamiko hayasaidii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekuja kukwambia acha upopoma kafuge majini uko achana na mpiraumefuata nini kwenye Uzi wa manyaunyau
Amphibian wanachekeshaga 😂😂Watu wamecheza mechi na FC Barcelona waje waombe mechi iarishwe na vyura wa jagwani
Tutolee upuuzi wako. Kumbe ndio maana watu wanakutukana na kukudharau humu. Watu wapo busy na mpira we unaleta uchoko wako wa Zanzibar. 🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕Patashika nguo kuchanika.
Najaribu kufikiri hii ingekuwa imefanyika Zanzibar👇🏾
View attachment 2954693
Umeuona ujumbe eeh?Tutolee upuuzi wako. Kumbe ndio maana watu wanakutukana na kukudharau humu. Watu wapo busy na mpira we unaleta uchoko wako wa Zanzibar. 🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕🖕
Wewe ni mchambaji tu, huna lolote.Leo yanga tunafungwa 5 kwa 1 ...
mimi ni mchambuzi wa soka la kimataifa
Si baada ya kuchambua ndio nimejua kwamba leo tunachezea 5 kwa moja.Wewe ni mchambaji tu, huna lolote.
Mchambuzi gani anae tabiri badala ya kuichambua mechi yote kwa ujumla wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga huyooooo to Semi-final
Umekula mchanaPatashika nguo kuchanika.
Najaribu kufikiri hii ingekuwa imefanyika Zanzibar👇🏾
View attachment 2954693
Nenda youtubeDuu ya kweli hayo wanawahi kucheza na barca