Shabiki mnazi wa Mamelody aingia ubaridi. Aomba mechi iahirishwe

Utopolo South Africa wanaonekana kama mama j yenyewe wanafurahi🀣🀣🀣🀣🐸🐸🐸🐸🐸🐸
 
Nacheki gemu ya utopolo alafu naenda kulala🀣🀣🀣mpaka mtolewe
 
Patashika nguo kuchanika.

Najaribu kufikiri hii ingekuwa imefanyika ZanzibarπŸ‘‡πŸΎ

View attachment 2954693
Tutolee upuuzi wako. Kumbe ndio maana watu wanakutukana na kukudharau humu. Watu wapo busy na mpira we unaleta uchoko wako wa Zanzibar. πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•πŸ–•
 
Umeuona ujumbe eeh?

Umekuchoma?
 
Leo yanga tunafungwa 5 kwa 1 ...

mimi ni mchambuzi wa soka la kimataifa
Wewe ni mchambaji tu, huna lolote.
Mchambuzi gani anae tabiri badala ya kuichambua mechi yote kwa ujumla wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…