Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Yaani Chama Ndiyo Maisha yake? duuKila la heri kwake.
Huyu atakuwa na changamoto ya afya ya akili. Yaani mtu ujitoe uhai kwa Chama kwenda Yanga, huo ni wazimu akapimwe akili huyo, na hata mpira wenyewe haujui yeye anamjua chama tu.Shabiki wa Simba ameapa kujiua endapo mchezaji wa timu hiyo Chama atajiunga na Yanga kwa msimu 2024/2025.
Aseme yuko mkoa gani ili watu waanze kuchambua mchele mapema.Shabiki wa Simba ameapa kujiua endapo mchezaji wa timu hiyo Chama atajiunga na Yanga kwa msimu 2024/2025.
Afanye haraka kwani tayari Chama amekwisha saini mktaba wa mwaka mmoja Yanga.Aseme yuko mkoa gani ili watu waanze kuchambua mchele mapema.
Huyo atakuwa ni Carasco PutinShabiki wa Simba ameapa kujiua endapo mchezaji wa timu hiyo Chama atajiunga na Yanga kwa msimu 2024/2025.
Huyo anatakiwa atandikwe bakora atie akili.Shabiki wa Simba ameapa kujiua endapo mchezaji wa timu hiyo Chama atajiunga na Yanga kwa msimu 2024/2025.
Tanguliaa salamaa babaa π π π π π πShabiki wa Simba ameapa kujiua endapo mchezaji wa timu hiyo Chama atajiunga na Yanga kwa msimu 2024/2025.
====
Pia soma: Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia
mboga ya msibani Kesha andaa au anatuletea matatizo tuu.Kwahiyo atapata faida gani baada ya kujiuwa!
mboga ya msibani Kesha andaa au anatuletea matatizo tuu.Kwahiyo atapata faida gani baada ya kujiuwa!