Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Tukio la kusikitisha limetokea baada ya mechi ya Yanga SC vs MC Alger ambapo shabiki wa Simba alipigwa na mtu wa Yanga mbele ya Afisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe, wakati wa mahojiano na Crown Media.
Pia, Soma: FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025
Uongozi wa Yanga unapaswa kutoa tamko kuhusu tukio hili, kwani kimya chao kinaweza kutafsiriwa kama kuunga mkono vitendo hivyo kuendelea.
Aidha, TFF inatakiwa kutoa tamko kuhusu suala hili na kuchukua hatua dhidi ya Yanga pamoja na shabiki huyo ili kukomesha vitendo visivyo vya kimpira.
Pia, Soma: FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025
Uongozi wa Yanga unapaswa kutoa tamko kuhusu tukio hili, kwani kimya chao kinaweza kutafsiriwa kama kuunga mkono vitendo hivyo kuendelea.
Aidha, TFF inatakiwa kutoa tamko kuhusu suala hili na kuchukua hatua dhidi ya Yanga pamoja na shabiki huyo ili kukomesha vitendo visivyo vya kimpira.